Huyo atakuwa na Mgodi wa AlmasWatu wana hela bwana mi nikiskia watu wakilalamika MAISHA MAGUMU nawaangaliaga halafu sitii hata neno Nanyamaza kimya.
Kuna binti alikua hapa nyumbani kwangu muda tu alikua anatafuta kazi,basi siku moja rafiki angu akanambia ana rafiki ake anatafuta House girl,kwa kua yule bint alikuepo nikamwambia kuna kazi imepatikana ya u house girl nenda kafanye mshahara ni 150,000 Akashangaa sana kama nilivyoshangaa ila kesho yake akapaki vitu akapelekwa huko kwa boss wake.
Kaenda kwa hiyo nyumba ni appartment ya maana Ghorofa na ni wamepanga kuna baba,mama,watoto wao wa 3,house girl wa watoto 1,wa usafi 1 wa chakula 1 so huyu bint aloenda anaenda kuwa house girl wa 4.
Nje kuna house boy m1...Nyumba hiyo ni hatari hizi story alitusimulia huyo binti baada ya kwenda kufanya kazi huko kama mwezi then siku 1 akaambiwa aje atusalimie ndio katika kumuuliza vipi kazi huko ndo akawa anatupa hadithi.
Watoto wawili wote wamenunuliwa smartphone Samsung s6 edge plus za kuangalizia katuni na kuchezea game kila mmoja na yake...Huko ndani maji yanayonyweka ni K.njaro Tu.
Kula hamna ratiba ya pamoja...kila mtu anapikiwa chakula anachotaka SO unakuta mezani baba anataka wali,mama anataka pila,mtoto anataka Chips, mwingine anataka Kuku...vyakula vyote hivyo vitapikwa na vitaletwa mezani.
Soda zimejazwa stooo kama vile wana duka la vinywaji....
kipindi hiki cha mvua nyumba yao imekaa sehemu ambapo gari hazifiki vizuri so Wanachofanya asubuhi wakitoka BABA anatoka na gari Ya juu ya kupita rough road then anafika mbele kule anaipaki kwasababu imechafuka anachukua gari yake ingine NOAH ndio anaenda nayo kazini...akirudi anapaki noah Pale pale kisha anachukua Cruiser lake la juu likiwa lishaoshwa anarudi nalo home.
JMOS NA JPILI nyumbani hapapkwi kitu baba analeta Chakula misosi inayoletwa ni mara 100 wapike wao kina dada unaambiwa maana baba analeta vyakula kama kuna sherehe.
watoto watatu na kila mtoto na room yake hawalali pamoja...kila chumba cha mtoto kina flat ya ukubwa wa 55inch...
dada wakazi wote Hawalali pamoja kila dada wa kazi analala chumba chake peke ake.
Jinsi nilivyokua namsikiliza huyo dada akisimulia nilikua nahisi naangalia MOVIE ila haya maisha ya hivi watu wapo tena tuko nao hapa hapa TANZANIA mnayosema ni nchi maskini.
Milioni 54 nyumba mbezi ipi? Labda Bunyokwa huko Mabondeni![]()
U-turn ile chaaapHeri yako wewe hiyo ni ya miezi 6, mie stoo yangu hiyo ni kodi ya miaka miwili.
Wakati napiha zangu A level pale aza boys nilikuwa na goma langu la kiarabu pale kariakoo, kwao wana House girls watatu, wawili wanakuja na kuondoka mmoja anakaa pale pale, ukiangalia sasa familia yenyewe kuna mama, baba tayari r.i.p, kaka zake wawili, mmoja ana mke na yeye binti!! Nikastaajabu kidogo.. Miaka imesonga mbele tuliachana baada ya mimi kumtia mimba binti mwingine ye kwa hasira akaolewa tukaja kupatana km washikaji tu, akanialika kwake yupo yeye na mwanae mume wameshakorofishana,lakin ana mabeki3 wawili.Watu wana hela bwana mi nikiskia watu wakilalamika MAISHA MAGUMU nawaangaliaga halafu sitii hata neno Nanyamaza kimya.
Kuna binti alikua hapa nyumbani kwangu muda tu alikua anatafuta kazi,basi siku moja rafiki angu akanambia ana rafiki ake anatafuta House girl,kwa kua yule bint alikuepo nikamwambia kuna kazi imepatikana ya u house girl nenda kafanye mshahara ni 150,000 Akashangaa sana kama nilivyoshangaa ila kesho yake akapaki vitu akapelekwa huko kwa boss wake.
Kaenda kwa hiyo nyumba ni appartment ya maana Ghorofa na ni wamepanga kuna baba,mama,watoto wao wa 3,house girl wa watoto 1,wa usafi 1 wa chakula 1 so huyu bint aloenda anaenda kuwa house girl wa 4.
Nje kuna house boy m1...Nyumba hiyo ni hatari hizi story alitusimulia huyo binti baada ya kwenda kufanya kazi huko kama mwezi then siku 1 akaambiwa aje atusalimie ndio katika kumuuliza vipi kazi huko ndo akawa anatupa hadithi.
Watoto wawili wote wamenunuliwa smartphone Samsung s6 edge plus za kuangalizia katuni na kuchezea game kila mmoja na yake...Huko ndani maji yanayonyweka ni K.njaro Tu.
Kula hamna ratiba ya pamoja...kila mtu anapikiwa chakula anachotaka SO unakuta mezani baba anataka wali,mama anataka pila,mtoto anataka Chips, mwingine anataka Kuku...vyakula vyote hivyo vitapikwa na vitaletwa mezani.
Soda zimejazwa stooo kama vile wana duka la vinywaji....
kipindi hiki cha mvua nyumba yao imekaa sehemu ambapo gari hazifiki vizuri so Wanachofanya asubuhi wakitoka BABA anatoka na gari Ya juu ya kupita rough road then anafika mbele kule anaipaki kwasababu imechafuka anachukua gari yake ingine NOAH ndio anaenda nayo kazini...akirudi anapaki noah Pale pale kisha anachukua Cruiser lake la juu likiwa lishaoshwa anarudi nalo home.
JMOS NA JPILI nyumbani hapapkwi kitu baba analeta Chakula misosi inayoletwa ni mara 100 wapike wao kina dada unaambiwa maana baba analeta vyakula kama kuna sherehe.
watoto watatu na kila mtoto na room yake hawalali pamoja...kila chumba cha mtoto kina flat ya ukubwa wa 55inch...
dada wakazi wote Hawalali pamoja kila dada wa kazi analala chumba chake peke ake.
Jinsi nilivyokua namsikiliza huyo dada akisimulia nilikua nahisi naangalia MOVIE ila haya maisha ya hivi watu wapo tena tuko nao hapa hapa TANZANIA mnayosema ni nchi maskini.
Hahaa!! Mie nakushauri we kata tamaa tu.Ninachoamini kuna aina fulani ya maisha sitokuja kuishi kabisa kwa umri nilio nao sasa na haya maisha ninayoishi.
Halafu atatokea mtu ataniambia nisikate tamaa mkuu
Anaweza kuwa ni don pablo emilio gaviria Escobarmfanya biashara ni BABA na hatujui biashara yake...MAMA amenyimwa kufanya kazi yeye apeleke watoto shule akazurure anakojua arudi nyumbani kulala.
Sio kila mtu ana ndoto za kuwa na nyumba.Sawa tupo watu wa vipato tofauti levo tofauti
Lakini kama mlalahoi hiyo hela nkiifikiria nawaza sana..mil 54 si tayari nna nyumba mbezi now!
Inauma mkuu
Write your reply...
espy kumbe hii "atoto" ndo id yako nyingineee! tushajua
Hizi nyumba zipo tiyari ?? au ndo mambo ya 3D Design.
Hizo ni apartments ambazo kuna kipindi ilikua ni kama hotel, unaweza kaa kwa siku kadhaa, wiki au muda wowote kulingana na shughuli zako.
yani kuna nyumba unatamani kuwa hata house boy kwa jinsi vyuma vilivyokaza...Huyo mke wake juzi kati gari yake imekwama kwenye matope Akashuka akatoa Pochi akalock gari akaliacha pale pale akarudi nyumbani...
Mume wake kurudi kuambiwa ALIMCHEKA MKE WAKE MPAKA kakaachini.. kesho yake asubuhi Gari ikaenda kusukumwa na vijana wa nne Wakaachiwa LAKI eti kuitoa tu pale,imagine!
Tanesco waliwahi kukata umeme kukawa na Mgao ule mtaaa...BABA alichukua watoto wake wote..dada wa kazi wa watoto Akaenda Hotelini kukaa na watoto wake mpaka umeme utakaporudishwa nyumbani..Unaambiwa ile nyumba bila A/C haikaliki.
Baba akirudi akisema washeni A/C mkamwambia umeme hamna...mtamuona huyoooo anabeba nguo anaaga anaenda hotelini Anawambia ukirudi umeme wenu mtaniita.
Akikaa huko siku mbili mfululizo umeme haujarudi siku ya tatu anarudikuchukua watoto wake na dada wa watoto anawapeleka hotelini....
Watu wanaishi hii TANZANIA etiii..tuacheni tu...nyumba matumizi ya umeme ni almost kila mwezi umeme wa LAKI 3 to 4...na wala haimsumbui mtu akili..wana amani BABA Ana amani,mama ana amani Raha full time
Pumbavu kabsaa sasa Si najenga yangu hela zote hizo??300,000 kwa siku..yani unaamka asubuhi ukirudi kulaza kichwa laki tatu imetoka kwa mwenye mjengoo!
Walalahoi sie ni Kodi ya miezi sita geto la elfu hamsini. .tena tunawaza kodi ikiisha tutapata kweli?
Napiga mahesabu
300,000*30 days=9,000,000
Sasa Fanya kwa miezi 6
6*9,000,000=54,000,000! Kwa miezi sita!
Kweli kuna watu wanaishi!
Kutwa kuishabikia fisiemWakati huo ndege JOHN hana kitanda na hana hiyo pesa ya kununua kitanda cha foot4
kuna watu ukisimulia maisha yao unaweza onekana unaongeza chumvi..kuna watu wana kufuru hiii DUNIA acheni kabisaWakati napiha zangu A level pale aza boys nilikuwa na goma langu la kiarabu pale kariakoo, kwao wana House girls watatu, wawili wanakuja na kuondoka mmoja anakaa pale pale, ukiangalia sasa familia yenyewe kuna mama, baba tayari r.i.p, kaka zake wawili, mmoja ana mke na yeye binti!! Nikastaajabu kidogo.. Miaka imesonga mbele tuliachana baada ya mimi kumtia mimba binti mwingine ye kwa hasira akaolewa tukaja kupatana km washikaji tu, akanialika kwake yupo yeye na mwanae mume wameshakorofishana,lakin ana mabeki3 wawili.
Nikikumbuka familia zetu kuna baba, mama watoto 8, mjomba, sijui babu, bibi mzaa baba, bibi mzaa mama. Na beki 3 hamna au sana sana yupo mmoja kama roho..
Hahaa!! Maisha hayako sawa kabisa.
Mie nazaliwa kwa mtogole, au zamani kurasini maji machafu mmoja anazaliwa kwenye shortcut kwa bakhresa, mtoto wa miaka 2 ana account ina soma m mia kadhaa, mimi na miaka yangu 50 kasoro nina akaunti ya mpesa, benki nina kadi ya ushahidi wa benki!! Ikiingia pesa haikai inapitiliza..
Unafika kwa mtu unaogopa mpaka pakukaa utachafua..kuna watu ukisimulia maisha yao unaweza onekana unaongeza chumvi..kuna watu wana kufuru hiii DUNIA acheni kabisa
nakubaliana na wewe kabisa...nilishaingia Nyumba unakaa kwenye kochi umeshakaa lakini unajiona kama uko hewani unaning'inia bado...nilitegea wenyeji wameniacha kidogo Nikainuka tena nikakaaa..Bwana weeeeee yale sio masofa ila ni Kufuru sjawahi yaona popote walai...Unafika kwa mtu unaogopa mpaka pakukaa utachafua..
Bongo hii hii kuna watu wanaishi maisha ya kufuru mkuu