Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,787
- 45,248
Kwenye kutalii ni kawaida.300,000 kwa siku..yani unaamka asubuhi ukirudi kulaza kichwa laki tatu imetoka kwa mwenye mjengoo!
Walalahoi sie ni Kodi ya miezi sita geto la elfu hamsini. .tena tunawaza kodi ikiisha tutapata kweli?
Napiga mahesabu
300,000*30 days=9,000,000
Sasa Fanya kwa miezi 6
6*9,000,000=54,000,000! Kwa miezi sita!
Kweli kuna watu wanaishi!
View attachment 1104771View attachment 1104772View attachment 1104773View attachment 1104776View attachment 1104777View attachment 1104778
Mfano mpo wanne, badala ya kila mtu kuchukua chumba hotelini kwa 100k/150k (Euro 50/60) n.k kwa siku mnaweza mkakubaliana mkachanga mkachukua nyumba kama hiyo.