Kuna watu wana hela jamani!!

Watu wana hela bwana mi nikiskia watu wakilalamika MAISHA MAGUMU nawaangaliaga halafu sitii hata neno Nanyamaza kimya.

Kuna binti alikua hapa nyumbani kwangu muda tu alikua anatafuta kazi,basi siku moja rafiki angu akanambia ana rafiki ake anatafuta House girl,kwa kua yule bint alikuepo nikamwambia kuna kazi imepatikana ya u house girl nenda kafanye mshahara ni 150,000 Akashangaa sana kama nilivyoshangaa ila kesho yake akapaki vitu akapelekwa huko kwa boss wake.

Kaenda kwa hiyo nyumba ni appartment ya maana Ghorofa na ni wamepanga kuna baba,mama,watoto wao wa 3,house girl wa watoto 1,wa usafi 1 wa chakula 1 so huyu bint aloenda anaenda kuwa house girl wa 4.

Nje kuna house boy m1...Nyumba hiyo ni hatari hizi story alitusimulia huyo binti baada ya kwenda kufanya kazi huko kama mwezi then siku 1 akaambiwa aje atusalimie ndio katika kumuuliza vipi kazi huko ndo akawa anatupa hadithi.

Watoto wawili wote wamenunuliwa smartphone Samsung s6 edge plus za kuangalizia katuni na kuchezea game kila mmoja na yake...Huko ndani maji yanayonyweka ni K.njaro Tu.

Kula hamna ratiba ya pamoja...kila mtu anapikiwa chakula anachotaka SO unakuta mezani baba anataka wali,mama anataka pila,mtoto anataka Chips, mwingine anataka Kuku...vyakula vyote hivyo vitapikwa na vitaletwa mezani.

Soda zimejazwa stooo kama vile wana duka la vinywaji....

kipindi hiki cha mvua nyumba yao imekaa sehemu ambapo gari hazifiki vizuri so Wanachofanya asubuhi wakitoka BABA anatoka na gari Ya juu ya kupita rough road then anafika mbele kule anaipaki kwasababu imechafuka anachukua gari yake ingine NOAH ndio anaenda nayo kazini...akirudi anapaki noah Pale pale kisha anachukua Cruiser lake la juu likiwa lishaoshwa anarudi nalo home.

JMOS NA JPILI nyumbani hapapkwi kitu baba analeta Chakula misosi inayoletwa ni mara 100 wapike wao kina dada unaambiwa maana baba analeta vyakula kama kuna sherehe.

watoto watatu na kila mtoto na room yake hawalali pamoja...kila chumba cha mtoto kina flat ya ukubwa wa 55inch...

dada wakazi wote Hawalali pamoja kila dada wa kazi analala chumba chake peke ake.

Jinsi nilivyokua namsikiliza huyo dada akisimulia nilikua nahisi naangalia MOVIE ila haya maisha ya hivi watu wapo tena tuko nao hapa hapa TANZANIA mnayosema ni nchi maskini.
daaahh
 
Watu wana hela bwana mi nikiskia watu wakilalamika MAISHA MAGUMU nawaangaliaga halafu sitii hata neno Nanyamaza kimya.

Kuna binti alikua hapa nyumbani kwangu muda tu alikua anatafuta kazi,basi siku moja rafiki angu akanambia ana rafiki ake anatafuta House girl,kwa kua yule bint alikuepo nikamwambia kuna kazi imepatikana ya u house girl nenda kafanye mshahara ni 150,000 Akashangaa sana kama nilivyoshangaa ila kesho yake akapaki vitu akapelekwa huko kwa boss wake.

Kaenda kwa hiyo nyumba ni appartment ya maana Ghorofa na ni wamepanga kuna baba,mama,watoto wao wa 3,house girl wa watoto 1,wa usafi 1 wa chakula 1 so huyu bint aloenda anaenda kuwa house girl wa 4.

Nje kuna house boy m1...Nyumba hiyo ni hatari hizi story alitusimulia huyo binti baada ya kwenda kufanya kazi huko kama mwezi then siku 1 akaambiwa aje atusalimie ndio katika kumuuliza vipi kazi huko ndo akawa anatupa hadithi.

Watoto wawili wote wamenunuliwa smartphone Samsung s6 edge plus za kuangalizia katuni na kuchezea game kila mmoja na yake...Huko ndani maji yanayonyweka ni K.njaro Tu.

Kula hamna ratiba ya pamoja...kila mtu anapikiwa chakula anachotaka SO unakuta mezani baba anataka wali,mama anataka pila,mtoto anataka Chips, mwingine anataka Kuku...vyakula vyote hivyo vitapikwa na vitaletwa mezani.

Soda zimejazwa stooo kama vile wana duka la vinywaji....

kipindi hiki cha mvua nyumba yao imekaa sehemu ambapo gari hazifiki vizuri so Wanachofanya asubuhi wakitoka BABA anatoka na gari Ya juu ya kupita rough road then anafika mbele kule anaipaki kwasababu imechafuka anachukua gari yake ingine NOAH ndio anaenda nayo kazini...akirudi anapaki noah Pale pale kisha anachukua Cruiser lake la juu likiwa lishaoshwa anarudi nalo home.

JMOS NA JPILI nyumbani hapapkwi kitu baba analeta Chakula misosi inayoletwa ni mara 100 wapike wao kina dada unaambiwa maana baba analeta vyakula kama kuna sherehe.

watoto watatu na kila mtoto na room yake hawalali pamoja...kila chumba cha mtoto kina flat ya ukubwa wa 55inch...

dada wakazi wote Hawalali pamoja kila dada wa kazi analala chumba chake peke ake.

Jinsi nilivyokua namsikiliza huyo dada akisimulia nilikua nahisi naangalia MOVIE ila haya maisha ya hivi watu wapo tena tuko nao hapa hapa TANZANIA mnayosema ni nchi maskini.
mi naomba tu kujua huyo mshua anafanya kazi wizara gan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
money talk mzee
yani kuna nyumba unatamani kuwa hata house boy kwa jinsi vyuma vilivyokaza...Huyo mke wake juzi kati gari yake imekwama kwenye matope Akashuka akatoa Pochi akalock gari akaliacha pale pale akarudi nyumbani...

Mume wake kurudi kuambiwa ALIMCHEKA MKE WAKE MPAKA kakaachini.. kesho yake asubuhi Gari ikaenda kusukumwa na vijana wa nne Wakaachiwa LAKI eti kuitoa tu pale,imagine!

Tanesco waliwahi kukata umeme kukawa na Mgao ule mtaaa...BABA alichukua watoto wake wote..dada wa kazi wa watoto Akaenda Hotelini kukaa na watoto wake mpaka umeme utakaporudishwa nyumbani..Unaambiwa ile nyumba bila A/C haikaliki.

Baba akirudi akisema washeni A/C mkamwambia umeme hamna...mtamuona huyoooo anabeba nguo anaaga anaenda hotelini Anawambia ukirudi umeme wenu mtaniita.

Akikaa huko siku mbili mfululizo umeme haujarudi siku ya tatu anarudikuchukua watoto wake na dada wa watoto anawapeleka hotelini....

Watu wanaishi hii TANZANIA etiii..tuacheni tu...nyumba matumizi ya umeme ni almost kila mwezi umeme wa LAKI 3 to 4...na wala haimsumbui mtu akili..wana amani BABA Ana amani,mama ana amani Raha full time

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom