Hahahahaha ndiyo maana siku hizi watu wanatongoza kwa matendo.Mtongozo si kazi ndogo Dada ake.
Kijasho chaweza kukuta.
hahaha siku hizi matendo yanaongea zaidi kiukweli;Hahahahaha ndiyo maana siku hizi watu wanatongoza kwa matendo.
Out ya kwanza , ya pili, zawadi zawadi. Unamkaribisha nyumbani kwako , mnaangalia muvi ya kutisha anaogopa anakukumbatia shetani anawapitia. Mnakuwa wapenzi automatic.
Wanaume mna kazi kweli.hahaha siku hizi matendo yanaongea zaidi kiukweli;
Mtongozo unaowsumbua sana watu ni ule umekutana na mtu Mara ya kwanza humjui hakujui. Namna ya kuvunja mfupa akuelewe uchukue walau namba simu kwa mawasiliano zaidi ndio huwa kizungumkuti.
Tehe tehe sihusiki kazi kwenuUnakuta mwanaume mzima unaongea nae haishi kula kucha, mara kuchora chini kwa kidole cha mguu, Mara kuangalia pembeni yaani wanafanana na wadada kwa kila kitu.
Hivi wanaume kama nyie huwa mnatongoza kweli? Au ndo type ya madomo zege?
Karne hii dume limejaa aibu tena mbele ya mwanamke loh!
Usikute hata hao watoto mnaodhani ni wenu ni wa wanaume wenzenu.
Mianaume kama nyie ni ya kuchuna tu halafu papucha wanakula wengine.
Nimejiandaa kwa povu.
Mazingira kama ya bar, hotel, kwa ofice, ama biashara ni rahisi kuinteract, waweza muingilia na kupiga story mbli tatu na kuchukua namba.Wanaume mna kazi kweli.
Maana ukienda tuu like "sista naomba namba zako " haueleweki.
Labda mkutane sehemu ambayo inaruhusu kuongea story mbili tatu na hana haraka. Tofauti na hapo duuu poleni, mupo na kazi nzito!
Hivi unaweza kunisaidia kwa nini warembo wengi hawapendi wanaume wenye aibu?Unakuta mwanaume mzima unaongea nae haishi kula kucha, mara kuchora chini kwa kidole cha mguu, Mara kuangalia pembeni yaani wanafanana na wadada kwa kila kitu.
Hivi wanaume kama nyie huwa mnatongoza kweli? Au ndo type ya madomo zege?
Karne hii dume limejaa aibu tena mbele ya mwanamke loh!
Usikute hata hao watoto mnaodhani ni wenu ni wa wanaume wenzenu.
Mianaume kama nyie ni ya kuchuna tu halafu papucha wanakula wengine.
Nimejiandaa kwa povu.
Lakini namba ulipata? Au ulirudi kapa?[emoji23][emoji23][emoji23]Mazingira kama ya bar, hotel, kwa ofice, ama biashara ni rahisi kuinteract, waweza muingilia na kupiga story mbli tatu na kuchukua namba.
Hahaha nakumbuka kuna kipindi kwenye daladala inabidi nishukie kimara kibo/ rombo: nikajikuta nafika kwa msuguri just kufukuzia namba tu
🤣🤣🤣🤣hahaha siku hizi matendo yanaongea zaidi kiukweli;
Mtongozo unaowsumbua sana watu ni ule umekutana na mtu Mara ya kwanza humjui hakujui. Namna ya kuvunja mfupa akuelewe uchukue walau namba simu kwa mawasiliano zaidi ndio huwa kizungumkuti.
Alikataaa kunipa yake; akaniambia Nimpe yangu; ye ndo atanitafuta. Anavyotaka kuondoka nikachukua elfu 30 nikampatia nikamwambia ya nauli iyo.Lakini namba ulipata? Au ulirudi kapa?[emoji23][emoji23][emoji23]
30,000 nauli tuu?Alikataaa kunipa yake; akaniambia Nimpe yangu; ye ndo atanitafuta. Anavyotaka kuondoka nikachukua elfu 30 nikampatia nikamwambia ya nauli iyo.
Hahaha hata kabla sijafika zangu rombo
Nakutana na message ya "hallow"
Hahaha ngoja wake mabaharia wazoefu tutapata majibu🤣🤣🤣🤣
Kizungumkutu au sio?
Vip sasa nini kifanyike kuchukua namba kwa mafanikio na kwa haraka?
hahaha we acha tu; kuna vifaaa hata hujiulizi Mara mbili mbili kutoa cash30,000 nauli tuu?
Duu una mkwara sio wa nchi hii.
Kuachwa akujawahi kumuacha mtu salama.
HahahaNyege mbaya sana
Cute b naamini katika weledi wakoLakini namba ulipata? Au ulirudi kapa?[emoji23][emoji23][emoji23]
"Alisikika bint mmoja mlevi akinung'unika kutoka kwenye virabu vya pombe za kienyeji".