Kuna wanaume wengine walipaswa kuwa wanawake kabisa

Kuna wanaume wengine walipaswa kuwa wanawake kabisa

hahaha siku hizi matendo yanaongea zaidi kiukweli;

Mtongozo unaowsumbua sana watu ni ule umekutana na mtu Mara ya kwanza humjui hakujui. Namna ya kuvunja mfupa akuelewe uchukue walau namba simu kwa mawasiliano zaidi ndio huwa kizungumkuti.
Mimi hua natongoza hapo hapo first sight kabla hata sijaomba namba ila kwa nidhamu sana lazima nisikilizwe.

Nikipigwa chini natuliza sehemu zangu hata namba siombi.
Tukienda sawa ndo naomba sasa namba itasaidia mawasiliano tukutane maenao.

Changamoto ni moja tu, madem wengi hawajazoea kutongozwa first sight hii inapelekea kutotoa ushirikiano hata kama na wao wamenielewa wanaondoka sijapata namba na inakuwa ndo bas tena.
 
Mimi hua natongoza hapo hapo first sight kabla hata sijaomba namba ila kwa nidhamu sana lazima nisikilizwe.

Nikipigwa chini natuliza sehemu zangu hata namba siombi.
Tukienda sawa ndo naomba sasa namba itasaidia mawasiliano tukutane maenao.

Changamoto ni moja tu, madem wengi hawajazoea kutongozwa first sight hii inapelekea kutotoa ushirikiano hata kama na wao wamenielewa wanaondoka sijapata namba na inakuwa ndo bas tena.
Mkuu we sio pouwa! Mimi huwa nashindwa maana nahisi naweza nisieleweke kwake nikaishia kumpeperusha njiwa. Hitaji la namba huwa ndo nahisi ni best option kwangu.
 
Hizo tabia ni zangu kabisaa!!
Lakin sina hata chembe ya udomo zege na huwa sifanyi makosa kwny 18.
 
Cute b naamini katika weledi wako
Moja kati ya challenge ngumu ni pale umepata namba bila kupewa na muhusika
Swali la umepata wapi namba yangu?
Jibu gani ni zuri na romantic kwa nyie jinsia jiran??
"Nilikupenda kwanzia siku nyingi. Nilifanya juhudi zote kujitahidi napambana kuzipata namba zako. Ila kuhusu aliyenipa siyo muhimu kwa sasa maana nilizibeba kwenye simu yake bila hata yeye kujua."

Halafu na unaongea kama msomi😂😂
 
Hivi tusipo watongoza simnajisikia vibaya?
Wanaume mna kazi kweli.
Maana ukienda tuu like "sista naomba namba zako " haueleweki.

Labda mkutane sehemu ambayo inaruhusu kuongea story mbili tatu na hana haraka. Tofauti na hapo duuu poleni, mupo na kazi nzito!
 
"Nilikupenda kwanzia siku nyingi. Nilifanya juhudi zote kujitahidi napambana kuzipata namba zako. Ila kuhusu aliyenipa siyo muhimu kwa sasa maana nilizibeba kwenye simu yake bila hata yeye kujua."

Halafu na unaongea kama msomi😂😂
😂😂😂😂Asante sana madam Umetisha saana, stay healthy and blessed..🙏🙏
 
Binafsi yangu kama demu sijamla. Uwa namuonea aibu na kujjifanya mnyonge. Boya Boya. Ngoja sasa nipite ninavyobadilika
😂😂😂 Unatakiwa kuchukuliwa hatua na wizara ya mambo ya ndani huo ni uhalifu/utapeli kama utapeli mwingine..
Sio poa mkuu unamjeruhi internally baadae anakuwa fisi jike kama Demiss
 
"Nilikupenda kwanzia siku nyingi. Nilifanya juhudi zote kujitahidi napambana kuzipata namba zako. Ila kuhusu aliyenipa siyo muhimu kwa sasa maana nilizibeba kwenye simu yake bila hata yeye kujua."

Halafu na unaongea kama msomi😂😂
We vocalist mbaya! Sipatii picha ungekuwa wa kiume madini ambayo ungekuwa unayatema.
 
Wanawake bhana!,kwa kutabili huyu bidada kuna mwanaume kampenda ila jamaa hana habari na demu,kwahyo demu kamaindi kaamua kuja kupunguza maumivu huku
 
Back
Top Bottom