Kuna wanaume wengine walipaswa kuwa wanawake kabisa

Kuna wanaume wengine walipaswa kuwa wanawake kabisa

Mimi hizo hizo nazipenda. Labda ni kwasababu napenda sana kudekezwa, kubembelezwa. Sound za hela sijui zawadi wengi hawahangaiki kubembeleza kabisa.
hahaha; kumbe wapenda sikia maneno matamu matamu kama Yale ya sultan Suleiman aliyokuwa akimwagia hurrem sultana.

Lazima dunia yote uione yako
 
Hao ni wa wapi ??????

Ndiyo, Mimi maneno tuu unanibeba juu huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Walikuwa kwenye tamthilia ya sultan iliyokuwa ikioneshwa na azam TV. mule ndani kuna sound za maneno mazuri sio pouwa.

Tena hayo maneno mazuri nahisi unapenda uyasikie, ukiwa umetolewa dinner eneo tulivu na zuri.
 
Walikuwa kwenye tamthilia ya sultan iliyokuwa ikioneshwa na azam TV. mule ndani kuna sound za maneno mazuri sio pouwa.

Tena hayo maneno mazuri nahisi unapenda uyasikie, ukiwa umetolewa dinner eneo tulivu na zuri.

Kumbe ndiyo maana nasikiaga watu wanaipenda hiyo tamthilia eeh.

Eeh eneo tulivu ambalo hamna makelele, tena ikiwa usiku uwiiiii raha. Yaani hapo narudishwa nyumbani nimebebwa maani siyo kwa kulegea huko[emoji23][emoji23]
 
Kumbe ndiyo maana nasikiaga watu wanaipenda hiyo tamthilia eeh.

Eeh eneo tulivu ambalo hamna makelele, tena ikiwa usiku uwiiiii raha. Yaani hapo narudishwa nyumbani nimebebwa maani siyo kwa kulegea huko[emoji23][emoji23]
haha ndio mana viben 10 wana wakwapua sana sikuhizi; maana hizo mambo wa naweza sana; wao nikuingia gym kujenga body nakuja kuwatega
 
haha ndio mana viben 10 wana wakwapua sana sikuhizi; maana hizo mambo wa naweza sana; wao nikuingia gym kujenga body nakuja kuwatega
Hahahahahhaha eti na kuja kuwatega.

Mimi hao wa kushinda Jim huwa siwataki maana watanidanga. Mwanaume anatakiwa aweze kujihudumia kila kitu yeye kama yeye, na ikitokea nikabeba ujauzito nisiwe na stress awe na uwezo wa kulea mtoto. Mimi asipo nipa hela wala sina shida nipo fit[emoji23][emoji23]
 
Hahahahaha ndiyo maana siku hizi watu wanatongoza kwa matendo.
Out ya kwanza , ya pili, zawadi zawadi. Unamkaribisha nyumbani kwako , mnaangalia muvi ya kutisha anaogopa anakukumbatia shetani anawapitia. Mnakuwa wapenzi automatic.
Hahahaha hii mbinu imenikumbusha mbali Sana kama ulikuepo vile au ndo wewe?
 
Hahahahahhaha eti na kuja kuwatega.

Mimi hao wa kushinda Jim huwa siwataki maana watanidanga. Mwanaume anatakiwa aweze kujihudumia kila kitu yeye kama yeye, na ikitokea nikabeba ujauzito nisiwe na stress awe na uwezo wa kulea mtoto. Mimi asipo nipa hela wala sina shida nipo fit[emoji23][emoji23]
Kina callisa hao aliojitafunia wema kiulaini; na sasa kuna dogo somebody kwa jina la kayumba kama nimepatia anajitafunia uwoya tu. viben 10 sio pouwa Dada ake

Sema huwa hawana adabu tu, kukuchukua video hawa pasipo kujijua ama pasipo ridhaa yako ni dakika sifuri, jihadhari nao sana na maneno matamu yao
 
Kina callisa hao aliojitafunia wema kiulaini; na sasa kuna dogo somebody kwa jina la kayumba kama nimepatia anajitafunia uwoya tu. viben 10 sio pouwa Dada ake

Sema huwa hawana adabu tu, kukuchukua video hawa pasipo kujijua ama pasipo ridhaa yako ni dakika sifuri, jihadhari nao sana na maneno matamu yao
Asante kwa tahadhari Sanchez magoli. Sema sasa hivi nipo committed kwa mtu hivyo hawawezi kunipata.[emoji23][emoji23].
 
Kwa kuongezea tu!Monica wote ni single mother
Unakuta mwanaume mzima unaongea nae haishi kula kucha, mara kuchora chini kwa kidole cha mguu, Mara kuangalia pembeni yaani wanafanana na wadada kwa kila kitu.

Hivi wanaume kama nyie huwa mnatongoza kweli? Au ndo type ya madomo zege?

Karne hii dume limejaa aibu tena mbele ya mwanamke loh!

Usikute hata hao watoto mnaodhani ni wenu ni wa wanaume wenzenu.

Mianaume kama nyie ni ya kuchuna tu halafu papucha wanakula wengine.

Nimejiandaa kwa povu.
 
Back
Top Bottom