ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,375
- 28,484
Sina mengi ila nina mfano tu mdogo,
Mtu anakuambia "mpige huyo mtoto mchanga"
Kwa kawaida utashi uliozaliwa utakuambia hii sio vyema kabisa, tafakuri yako itasaidia usute nafsi yako thus utaacha kabisa kumpiga huyo mwana.
Lakini kuna huyu "great thinker" nafsi itamsuta lakini ataanza kwa kusema kutokna na maandishi ya so and so muhasisi wa itikadi yangu aliwahi kupiga mtoto mchanga, basi ngoja na mimi nimpige tu maana sio vibaya
😂😂Hao Great thinkers wanaokushauri na nyuzi lukuki humu JF.
WEWE NI MKUU KULIKO HIO ITAKADI YAKO AMBAYO BABU YAKO ALILAZIMISHWA KUMEZESHWA
Mtu anakuambia "mpige huyo mtoto mchanga"
Kwa kawaida utashi uliozaliwa utakuambia hii sio vyema kabisa, tafakuri yako itasaidia usute nafsi yako thus utaacha kabisa kumpiga huyo mwana.
Lakini kuna huyu "great thinker" nafsi itamsuta lakini ataanza kwa kusema kutokna na maandishi ya so and so muhasisi wa itikadi yangu aliwahi kupiga mtoto mchanga, basi ngoja na mimi nimpige tu maana sio vibaya
😂😂Hao Great thinkers wanaokushauri na nyuzi lukuki humu JF.
WEWE NI MKUU KULIKO HIO ITAKADI YAKO AMBAYO BABU YAKO ALILAZIMISHWA KUMEZESHWA