Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa...
Wanadamu wanaweza kuwa na wasiwasi na hofu mbalimbali kuhusu akili ya bandia (AI) kwa sababu kadhaa:
Hofu ya Kuhamishwa kwa Kazi: Moja ya hofu ya kawaida ni kwamba teknolojia za AI zitabadilisha kazi, na kusababisha ukosefu wa ajira kwa watu wengi. AI inapoendelea kusonga mbele, kuna wasiwasi...
Ni Ibris ndio anakudanganya eti ukiwa siglemama ndio utafanikiwa, utakuwa huru na utajitawala.
Wale ambao kama mimi wameruhusu akili zao ziathiliwe na Biblia watajua wanawake wenye ushawishi, matajiri na wanawake wa maana wenye adabu walikuwa ni wake za watu, sio Masingle mama au wanakejeli...
Kuna imani ilianzia Marekani huko miaka ya 1960s, imesambaa hadi Tanzania, Arusha nimeona wapo na pia DSM na maeneo mengine ya nchi, hii ni imani ya Branhamites, wafuasi wa mtumishi mmoja wa Mungu mkubwa sana aliyeitwa William Marrion Branham. Wengi mtakuwa mmeshawafahamu, wengine wanabandika...
PART 1.
Salaam, Shalom!!
INTRODUCTION.
(Hesabu 23: 19)
Mungu Si mtu aseme uongo, Wala Si mwanadamu ajute.
Iwapo amesema, hatalitenda?
Iwapo amenena, hatalifikiliza?
(Isaya 34:16)
Tafuteni katika kitabu Cha BWANA,Mkasome, HAPANA katika hao wote atakayekosa kuwapo, HAPANA mmoja atakayemkosa...
Habarini wadau,
Binafsi naamini Mungu yupo, ni mwema, ndo aliumba vyote, anajua vyote past present and future, na ni muweza wa vyote, hakuna alie zaidi yake.
Uislamu na ukristo unafundisha kuwa mwisho wa sisi wenye dhambi ni kwenye moto wa milele, sasa mimi najiuliza.
1)Mungu akituchoma sisi...
Wakuu sorry,
Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi.
Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu.
Dah
Kuna aina mbili za mitazamo ya watu juu ya viongozi wa dini:
Aina ya kwanza wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu kamili na wenye ukamilifu wote, kunena mpaka kutenda kwao ni kwa ukamilifu. Hawakosei lolote
Aina ya pili wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu wa kawaida, wanatenda...
Mama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tuna hela nyingi, mbona sijui nini,nchi yetu tajiri...
Haya maneno Mungu ameniambia, au wakati mwingine nimefunuliwa, yamekuwa maneno ambayo hutumiwa sana na watu kuonyesha wamepata ujumbe kutoka kwa Mungu.
Swali langu, kwanini Mungu haongei na kila mtu?
Wote tuna mahitaji, iweje aongee na watu wachache tu?
Dr Yuval Harari, mshauri mkuu wa mwanzilishi wa WEF, Dr. Claus Schwab, amesema bila aibu na kumung'unya maneno kwamba wanadamu wote kama ikiwa lazima wataangamia, isipokuwa "The Elite."
Dk. Yuval Harari anaingia kwenye vichwa vya habari tena kwa matamshi yake tata kuhusu hatima ya wanadamu kwa...
USITAFUTE HESHIMA KWA WANADAMU!
Anaandika, Robert Heriel
Yule Shahidi,
Andiko hili ni Kwa watu wote!
Nimeona Vijana wengi wanapenda utukufu, wanapenda kuheshimiwa, wanapenda sifa. Hilo sio tatizo kwani ndio silika ya mwanadamu ilivyo. Lakini tatizo linakuja kuwa wanapenda mambo hayo kutoka...
Hello y’all..
NB: Naomba moderator mada hii msiihamishie jukwaa la dini maana huko itakosa wachangiaji na lengo langu la kutaka kujuzwa jambo hili halitatimia and that will leave me frustrated and bums me out, Natuamaini mtatii takwa langu hili. Ahsanteni.
Binafsi kiimani ni muumini wa kanisa...
Nimeiona hii habari kupitia Millard ayo nikaona ni vyema niilete humu jamvini huenda akapata chochote.
Kijana Tariq Kipemba amemwagiwa kitu kinachohisika kuwa ni tindikali huko mkoani Kilimanjaro wakati akiwa katika matembezi ya kawaida.
Tukio hili limempa majeraha makali mwilini mwake na...
Leo Aprili 12 ni Siku ya Safari za Anga za Juu Duniani au kwa jina lingine ni Siku ya Kimataifa ya Binadamu Kwenda Angani. Kutoka "mazungumzo kati ya mbingu na dunia" na wanaanga wanaotekeleza majukumu kwenye anga za juu, kujibu barua za wanasayansi wazee walioshiriki katika operesheni ya...
No OFFENCE NO OFFENCE
Naomba mada isichukuliwe tofauti na pia niweke bayana baadhi ya mambo. Kwanza mimi ni mbatizwa kwa Jina la Joseph ( na sijui kwa nini sisi wenye majina yetu asili uwa tunapewa majina mengine, sitaki kuamini kama Mungu ni mbaguzi kiasi icho).
Nilibatizwa mpaka kupata...
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)
Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya...
Freeman Alkael Mbowe wewe ni binadamu na binadamu tumeumbwa kukosea ukweli ndio utakutesa kuliko uongo
Moyo wako unajua Nia yako uliyodhamiria kuitendea hii nchi Kuna mengi mazuri umeyafanya yakaonekana kwa macho lkn Kuna mengi mabaya zaidi umeyafanya nyuma ya pazia na hili la kutenda ugaidi...
Mipango yako unaipanga wewe, elewa changamoto za wivu zipo kwenye maisha.
Good morning JF.
Mod I expect you to delete this nonsense if not I can live with the message.
Happy new year JF
Hata Pilatio mwenyewe hakuona kosa la Yesu ila alitimiza matakwa ya waliotaka Yesu asulubiwe na akanawa mikono akasema na dhambi hiyo iwe juu yao(mstari wa 24).
Kuhusu Mke wa Pilato, soma mstari wa 19 katika haya maandiko.
Kisa kizima hiki hapa:
11 Yesu akapelekwa mbele ya gavana naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.