Kuna umuhimu wa kuifundisha jamii elimu ya uchumi na pesa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Kwa wanafunzi mashuleni kuwe na mtaala wa kufundisha somo hili. Zamani kuna mada katika somo la Sayansi Kimu au maarifa ya nyumbani lilizungumzia misingi ya uchumi na faida za kuweka akiba.

Kwa wale wenye vyeti na hata stashahada za uchumi mnaweza kufundisha jumuia za kanisani I, msikitini au hata mtaani. Inasikitisha kuona raia wengi hawana tabia ya kujiwekea akiba hata katika kile kidogo wanachopata.

Mtaani wengi wanacheza vikoba, mfano tu kuna vikoba vya 2,000 kwa siku, 5,000 kwa wiki na vingine 20,000 kwa mwezi. Unakuta mama anaishi bila amani akiwaza Pa kupata 2,000 kila asubuhi. Wengine hujirahisisha kwa ngono zembe ili apate 2,000 ya leo na ya kesho hajui itatoka wapi. Hapo bado anadaiwa 5,000 kila Jumamosi.

Kutokana na vipaumbele kutofautiana wengi hawaoni hata faida ya vikoba, ni shida tu. Hela ya kikoba inapaswa itoke baada ya matumizi kama chakula na kodi ya nyumba kukamilika. Sasa unapotegemea mzunguko kulipia kodi na kununua chakula ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Elimu ya pesa ingeendana ba elimu ya uraia, wananchi wanapaswa kufahamu umuhimu wa serikali kukusanya kodi na ni nini wategemee kutoka serikalini kutokana na matumizi ya kodi yao.
 
Wengi hujiunga katika VICOBA sababu ya kufiata mkumbo.
Wengine ni wake za watu na waume zao hawajui kuwa kuna shilingi 2,000 inatakiwa kila asubuhi , matokeo yake anakopa kwa dereva wa bodaboda. Na dawa ya deni ni kulipa, unakuta mke wa mtu ana mahusiano yasiyo rasmi na dereva wa bodaboda.
 
Kwa wanafunzi mashuleni kuwe na mtaala wa kufundisha somo hili. Zamani kuna mada katika somo la Sayansi Kimu au maarifa ya nyumbani lilizungumzia misingi ya uchumi na faida za kuweka akiba.
Hi ni shida kubwa hata kwa viongozi wetu wa juu hawana basics za uchumi kabisa ndo maana hata miradi mingi na mipango ya serikali inafeili mno.
 
Hili la elimu ya Tozo tumuachie mtaalamu Mwiguli Madelu Nchemba
Mwanauchumi mzalendo😆😆😆

IMG_20220227_234042.jpg
 
Kwa wanafunzi mashuleni kuwe na mtaala wa kufundisha somo hili. Zamani kuna mada katika somo la Sayansi Kimu au maarifa ya nyumbani lilizungumzia misingi ya uchumi na faida za kuweka akiba.

Kwa wale wenye vyeti na hata stashahada za uchumi mnaweza kufundisha jumuia za kanisani I, msikitini au hata mtaani. Inasikitisha kuona raia wengi hawana tabia ya kujiwekea akiba hata katika kile kidogo wanachopata.

Mtaani wengi wanacheza vikoba, mfano tu kuna vikoba vya 2,000 kwa siku, 5,000 kwa wiki na vingine 20,000 kwa mwezi. Unakuta mama anaishi bila amani akiwaza Pa kupata 2,000 kila asubuhi. Wengine hujirahisisha kwa ngono zembe ili apate 2,000 ya leo na ya kesho hajui itatoka wapi. Hapo bado anadaiwa 5,000 kila Jumamosi.

Kutokana na vipaumbele kutofautiana wengi hawaoni hata faida ya vikoba, ni shida tu. Hela ya kikoba inapaswa itoke baada ya matumizi kama chakula na kodi ya nyumba kukamilika. Sasa unapotegemea mzunguko kulipia kodi na kununua chakula ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Elimu ya pesa ingeendana ba elimu ya uraia, wananchi wanapaswa kufahamu umuhimu wa serikali kukusanya kodi na ni nini wategemee kutoka serikalini kutokana na matumizi ya kodi yao.

KUWEKA AKIBA NI UOGA WA MAISHA!!!
 
Wengine ni wake za watu na waume zao hawajui kuwa kuna shilingi 2,000 inatakiwa kila asubuhi , matokeo yake anakopa kwa dereva wa bodaboda. Na dawa ya deni ni kulipa, unakuta mke wa mtu ana mahusiano yasiyo rasmi na dereva wa bodaboda.
Ngoja boda nao wajimegee tunda hilo kwa mserereko
 
Kwa wanafunzi mashuleni kuwe na mtaala wa kufundisha somo hili. Zamani kuna mada katika somo la Sayansi Kimu au maarifa ya nyumbani lilizungumzia misingi ya uchumi na faida za kuweka akiba.

Kwa wale wenye vyeti na hata stashahada za uchumi mnaweza kufundisha jumuia za kanisani I, msikitini au hata mtaani. Inasikitisha kuona raia wengi hawana tabia ya kujiwekea akiba hata katika kile kidogo wanachopata.

Mtaani wengi wanacheza vikoba, mfano tu kuna vikoba vya 2,000 kwa siku, 5,000 kwa wiki na vingine 20,000 kwa mwezi. Unakuta mama anaishi bila amani akiwaza Pa kupata 2,000 kila asubuhi. Wengine hujirahisisha kwa ngono zembe ili apate 2,000 ya leo na ya kesho hajui itatoka wapi. Hapo bado anadaiwa 5,000 kila Jumamosi.

Kutokana na vipaumbele kutofautiana wengi hawaoni hata faida ya vikoba, ni shida tu. Hela ya kikoba inapaswa itoke baada ya matumizi kama chakula na kodi ya nyumba kukamilika. Sasa unapotegemea mzunguko kulipia kodi na kununua chakula ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Ukiona kuna mama amekwama kupeleka hela ya vikoba, hebu mpe namba yangu.

Kuhusu elimu ya fedha na uraia, serikali ya CCM inahakisha umasikini una tamalaki, kwani ndio nguzo yao kuu ya kuendelea kubaki madarakani huku wao na watoto wao wakiendelea kula keki ya taifa.

CCM haiwezi kukubali raia wajue haki zao za msingi na umuhimu wa katiba mpya na ubaya wa katiba ya mwaka 1977.

CCM itasambaratika watu wakitoka gizani
 
Back
Top Bottom