A
Anonymous
Guest
Kuna shule ya Msingi inaitwa Gulukakwalala iliyopo Ilala, kabla mtoto hajaingia darasani lazima atoe Tsh. 1,200 ambayo ni Tsh 1,000 ya chakula na Tsh 200 ya uji kila siku, ambapo kama huna hela hiyo mtoto hawezi kuingia darasani.
Sasa hivi wanasema kila mwezi mzazi atoe Tsh 2,000 ya mpishi na usafi na tsh. 1000 ya mtihani wa kujipima
Kwa hiyo kila mwezi lazima kulipa 24,000 + 1,000,+ 2,000= 27,000
Shule nyingine inayolipisha wazazi ni Maarifa ya G/Mboto. Pale pia mtoto asipokwenda na hela ya chakula ni fimbo.
Na kuna uthibitisho wa mama aliyekuwa akinieleza changamoto hizi na kutokutaka kujulikana kudai mtoto mtoto wake kucharazwa fimbo 6 kisa kwenda bila hela ya chakula na anasema hawataki mtoto kwenda na chakula chake mwenyewe.
Je, elimu bure hii tafsiri yake ni nini? Naomba tuone namna gani kuwasaidia hawa wazazi husasani wenye kipato cha chini dhidi ya hii michango.
Sasa hivi wanasema kila mwezi mzazi atoe Tsh 2,000 ya mpishi na usafi na tsh. 1000 ya mtihani wa kujipima
Kwa hiyo kila mwezi lazima kulipa 24,000 + 1,000,+ 2,000= 27,000
Shule nyingine inayolipisha wazazi ni Maarifa ya G/Mboto. Pale pia mtoto asipokwenda na hela ya chakula ni fimbo.
Na kuna uthibitisho wa mama aliyekuwa akinieleza changamoto hizi na kutokutaka kujulikana kudai mtoto mtoto wake kucharazwa fimbo 6 kisa kwenda bila hela ya chakula na anasema hawataki mtoto kwenda na chakula chake mwenyewe.
Je, elimu bure hii tafsiri yake ni nini? Naomba tuone namna gani kuwasaidia hawa wazazi husasani wenye kipato cha chini dhidi ya hii michango.