Government Electronic Payment Gateway (GePG)
Kuna ukweli wowote wa kuchetusha malipo ya control number za serikali (GePG) kwenda kwa mtu binafsi?
Kumekuwepo na taarifa za chini kwa chini kwa baadhi ya watu kuwa Kuna taasisi ukienda wanakupa control number kisha ukishalipiaa either ukiwaletea risit wao wanaenda bank wanaomba huo muamala urudishwe kwa account fulani au wanachetusha muamala huo wewe unahisi ni malipo ya serikali kumbe umelipa au siyo
Unaweza ukawa unafanya malipo unacheleweshewa huduma kumbe wajanja wameshachukua pesa system inasoma hujalipa
Au unalipa pesa kumbe zinaenda kwenye account binafsi
.Naomba kupata ufahamu wa hili
Kuna ukweli wowote wa kuchetusha malipo ya control number za serikali (GePG) kwenda kwa mtu binafsi?
Kumekuwepo na taarifa za chini kwa chini kwa baadhi ya watu kuwa Kuna taasisi ukienda wanakupa control number kisha ukishalipiaa either ukiwaletea risit wao wanaenda bank wanaomba huo muamala urudishwe kwa account fulani au wanachetusha muamala huo wewe unahisi ni malipo ya serikali kumbe umelipa au siyo
Unaweza ukawa unafanya malipo unacheleweshewa huduma kumbe wajanja wameshachukua pesa system inasoma hujalipa
Au unalipa pesa kumbe zinaenda kwenye account binafsi
.Naomba kupata ufahamu wa hili