Mimi yupo mwalimu alienifundisha, nkabahatika kupata uzao wa mapacha watatu watatu Mara tatu, na wote amewafundisha, ule uzao wa kwanza wa watoto wangu wamepata pacha Mara mbili na wote wamefundishwa na huyohuyo mwalimu,,,,,Mm nakumbuka kuna mwalimu alimfundisha mama yangu hadi kamaliza, akanifundisha mm mpka nimemaliza, lakini kuna muda nilikuwa nashindwa kuamnin kam ninkweli kamfundisha mama yangu, yaaan mtu kaganda palepale mwili hauongezeki wala kupungua aiseee hawa watu cjui wanakula nn
AF sijui ni kwanini,,,,fanya utafiti kwa hawa jamaa zetu wanajifanya walinzi wa raia na mali zetu kumbe wanaishi kwa mateso sana dhuruma uonevu utesaji sasa hawa huwa wakistaafu baada ya muda utasikia mzee fulani kaugua kisukari mara presha mara shinikizo la damu mara miguu msongo wa mawazo ni wao kiufupi hawa wakistaafu wanaishi uraiani kwa shida sana
Bila shaka wewe ni afandeIla kazi zetu sisi hizi tunazeeka mapema na kifo (WWW)
Mimi ni raia tuBila shaka wewe ni afande
Yaani kama kuna kazi yenye muda nzuri wa kurelax ni ualimu, kweli umenena mkuuHawana stress ya kazi saa 9 wanabeba pochi kwenda nyumbani shule zikifungwa nao wako likizo.
Wanacheza na saikoloji za watu tuu..... ni walezi wazuri wa familia.
Huwezi kuwa mwalimu kwa kuandika neno FACATY, utafelisha watoto wetuKipindi Cha Kampen Alikua Anahojiwa Mwl Mkuu Alie Mfundisha Lowasa Yan Bdo Young Kbisa Kuliko Hata Lowasa Mwenyewe,,, Ngoja Nibadili Facaty