Kuna siri gani walimu kutokuzeeka mapema?

Kuna siri gani walimu kutokuzeeka mapema?

Yupo Mwalimu mmoja alinifundishsa tangu awali, hivi sasa nina miaka 37 lakini teacher yupo fresh sana. Kwa kweli hata mimi inanishangaza. Pia huyu teacher ni mwanamke ana watoto 8 ila hajaolewa .
Watoto 8 na hajaolewa ndio mada kuu ya somo la leo!
 
Mwalimu aliyekufundisha anaweza asiwe kakuzidi sana kiumri Kama ndo anaanza. Ila kiukweli wanaishi muda mrefu
 
nimewahi kufanya kazi za kuhudumia watoto na vijana wadogo kiafya.
Naelewa ni kwanini walimu hawazeeki.
Kuhudumia watoto hakuna stress,hakuna fitna,majungu etc.Hamna kitu kitamu dunia hii kama kuishi na decent people.
The only problem unakuwa hupati connections kama ambazo ungepata kwa kuhudumia clients watu wazima.Unakuwa kama upo dunia yako nyingine,far away from life challenges.
 
kazi ya ualimu ina baraka sana kwa kuwa inaokoa jamii nzima, haina dhuluma, hivyo umri ni zawadi wanayopewa walimu wote waadilifu
 
Labda mwlm mpya ndie atafundisha masaa tisa ila kwa mkongwe
Notisi unampa dogo we unaenda kufafanua
Kupanga matokeo unasaidiana na madogo
Jioni zoezi na madogo
Shambani unaenda na madogo unawaandalia uji na viazi
Usafi vinakufanyia
Na ugomvi navyo huwa sio mkubwa sana kwani mnasamehe maisha yanaendelea
Kwa kweli ualim ni raha maana hata kipato ni kidogo ila huachi kuwafundisha madogo maana ndio marafiki wenyewe
Karaha zipo ila sio kivile
Kabisa. nakumbuka tulikuwa tunaenda kuwalimia walim,u wetu. wao wanapika makande na chai ya rangi tu. kwa kweli mwalimu ana marafiki wa uhakika hivyo hana sababu ya kuwa na stress.
 
Kabisa. nakumbuka tulikuwa tunaenda kuwalimia walim,u wetu. wao wanapika makande na chai ya rangi tu. kwa kweli mwalimu ana marafiki wa uhakika hivyo hana sababu ya kuwa na stress.
Uko sahihi kabisa madogo ni marafiki wazuri sana hasa siku hizi ambapo wengi ni watoto sana
 
very tru ukimwona mwalimu aliyenifundisha kusoma na kushika kalamu daaah mpaka huwa napenda ni kazi ya ualimu
 
Hunihulumii Mkuu Walim Walivyo Weng Mtaani Wakisubili Ajira,, Nimebadili Ntaoa Mwl , haendi 9t wala hana vikao na boss
Hahahahhh. Umeua jomba. Kwa hio unataka kuo mwalimu kwa sababu hizo tu?
 
Kuna mwalimu alienda Kisehemu cha kupata kinywaji akalewa mpaka akapoteza network Na hela yote ilikuwa imeisha,akashangaa asubuhi kalala nyumbani kwake Safi kabisa.Mpaka Leo Huwa hakumbuki Nani alimrudisha nyumbani.Lakini Huwa anahisi huenda akawa miongoni mwa watoto aliowafundisha au mzazi wa mmoja wa wanafunzi wake
 
life is useful under 70 years ! Baada ya hapo ni kuwakera binadamu wanaokuzunguka - wanao, mkeo, ndugu zako etc
 
Kazi zao ni mazoezi tosha ya kila siku. Hawakai sehemu moja na kuumizwa na viyoyozi vyenu. wengi hawana muda wa vipodozi vikali na pombe kupita kiasi. Kula yao sio ya machips na marosti kama huko maofisini kwenu.
 
Siku hizi tumepoteza kabisa great thinkers. Watu wanaanzisha topic ambazo hazina mantiki yoyote.
 
Ni kweli walimu hawazeeki;
1,Mchakamchaka asubuhi
2,Kusimama ubaoni zaidi ya masaa
3, Kushi kawaida yani no too much luxurious life
4, Kuamka mapema kila siku
5, Job security thus no stress etc
 
Duh na ni Jana tu nimekutana na Mwlm wangu aliyenifundisha kusoma stand ya kilombero hapa Arusha yaan nilijiuliza sana nikaishia kumlipia nauli ya hiace bado kijana kabisa anadai kwl kuna siri fulan kisaikolojia
 
Back
Top Bottom