Kuna siri gani walimu kutokuzeeka mapema?

Kuna siri gani walimu kutokuzeeka mapema?

Labda kwa sababu wanatafuna bikra sana as watoto wetu
Hasa wale wa msingi na early sec[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwl hana night, hana kusafirsafir rut kapewa na boss cjui, labda anaenda kushaisha mitihani, kurud nyumban zaid ya SAA 11 huyu ni wakuhojiwa zaidi, muda wa kulea familia,,,,
Hata alie oa mwalimu wengi wao unakuta wanaenda vizuri tu

Mfano: askar waliowengi wameoa mwalimu,
Viongozi waliowengi wameoa mwalimu, kada za afya waliowengi wameoa mwalimu,
Wafanyabiashara, na walimu kwa walimu wameoana

Ila wananidham kwwnye malezi huez kusikia ndoa imevunjika ovyo,,,,
Yaani walimu,,,
Kwel Ila Walimu Wa Jf Nao Wanatumia Mwanya Huu Kuche,,,
 
Mwez agost nlienda kuchukua chet cha std 7 nkamkuta mwl wa kike pekee kat ya nlowaacha but ukimtazama ndo unaweza hsi labda kaajiliwa juz...nimesoma la kwanza 98 chn yake but bado mbich walah
 
Kadri unavyoishi muda mrefu.....ndivyo unavyopata kujua kuwa kuna vitu muhimu maishani zaidi ya fedha.......

Kila nikiyarudisha maisha yangu nyuma nagundua kuwa nilipo kuwa kijijini nilikuwa naishi maisha ya raha na furaha sana kuliko hapa mjini pamoja na kuwa na kipato kidogo.......

Mwakani na acha kazi rasmi narudi kijijini kwetu.....
 
Usiseme siri sema fact. Ila mi naona weng ni wale wa primary, kwa kigezo hicho ni baraka wanazopata kwa wale malaika wa mungu, achana na hii midubwasha mingne mwl anageuka ubaoni linamsunya. Na waweza wasahau walimu wote ila si wa chekechea na drs la kwanza.
 
Basi alivyopiga hatua nilimuuliza maswali huyu ni nani? Alinijibu huyu ni mwalimu wangu shule ya msingi, ila alistaafu mwaka 1978 kipindi hicho nilkwisha hitimu shule muda.

(Kumbe nilvodhani miaka yake ni 95 si kwel ni anazaidi ya 107 na kuzidi) kumbuka hana hata fimbo ya kutembelea
Kama alistaafu mwaka 1978 basi atakuwa na miaka 99. siyo 107. Kumkadiria miaka 95 ulikuwa karibu na ukweli.
 
patricl,
Walimu ni kundi kubwa la watu masikini lakini linalo pata mibaraka tosha ebu fikilia mwalimu anaweza kupata Shikamoo 2000 kwa wakati mmoja na kumbuka wanao mpa Shikamoo mwl ni watoto wasio na dhambi

nimeyapenda sana haya mawazo yako. kwa kweli wanapokea baraka nyingi.

Lakini kikubwa ni kwamba hawana stress na kazi zao. wameridhika na maisha yao. kutokana na ugumu wa maisha hawali hata vyakula hivi vya kistarehe vinavyoleta madhara ya kisukari na pressure. wao ni ugali wao na maharage na mboga za majani, ndizi za kuchemshwa na kunywa maziwa klwa walimu kama wa kilimanjaro. Jioni wapo nyumbani na wake/waume zao. hakuna muda wa kukaa katika viti virefu vya baa. kazi zao ni hizo hizo kila mwaka, hakuna kuumiza sana akili. Wengine huku mjini fujo kibao, kila saa unawaza namna ya kupiga pesa, halafu hazishiki. Ni fujo kwa mbele maisha yote, vyakula mitaani ambavyo vimepikwa na mafuta yaliyogeuka kuwa kama oil chafu, wali, ugali vyote vimefunikwa na nailoni muda wote ili visipoe, ni sumu ya kimekali kwa kwenda mbele. Hapo hukatizi, lazima uzeeke kabla ya umri.
 
Walimu huwa wanabaki ivo ivo walivo kuanzia Maisha yao, Dress code mpaka Umri huwa vinakuwa Fixed.
Duh, umenikumbusha ticha wetu mmoja sekondari, alikuwa anavaa shati jeupe na suruali nyeusi, kama kukiwa na party shuleni anaongeza tu koti jeusi la suti, twende kazi, hakuwa na makuu kabisa baba yule.
 
Si kweli mkuu, ualimu unashuruba zake.. masaa 9 ila mziki wake ni noma.

Labda itakua kitu kingine tuu.

Pengine walimu wamejaaliwa kuridhika tu.
Labda mwlm mpya ndie atafundisha masaa tisa ila kwa mkongwe
Notisi unampa dogo we unaenda kufafanua
Kupanga matokeo unasaidiana na madogo
Jioni zoezi na madogo
Shambani unaenda na madogo unawaandalia uji na viazi
Usafi vinakufanyia
Na ugomvi navyo huwa sio mkubwa sana kwani mnasamehe maisha yanaendelea
Kwa kweli ualim ni raha maana hata kipato ni kidogo ila huachi kuwafundisha madogo maana ndio marafiki wenyewe
Karaha zipo ila sio kivile
 
Kama alista

afu mwaka 1978 basi atakuwa na miaka 99. siyo 107. Kumkadiria miaka 95 ulikuwa karibu na ukweli.
Mkuu miaka hiyo MTU akistaafu bd walikuwa wakimuhtaj co kama miaka hii ukifika 60 choka mbaya
 
Back
Top Bottom