The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Siku hizi waalimu wana zika wanafunzi wao 














Hawana stress ya kazi saa 9 wanabeba pochi kwenda nyumbani shule zikifungwa nao wako likizo.
Wanacheza na saikoloji za watu tuu..... ni walezi wazuri wa familia.
Hunihulumii Mkuu Walim Walivyo Weng Mtaani Wakisubili Ajira,, Nimebadili Ntaoa Mwl , haendi 9t wala hana vikao na bossFanya upesi kiongozi. Badili fani
women,war and wineIla kazi zetu sisi hizi tunazeeka mapema na kifo (WWW)
Watoto nane hajaolewa aseeYupo Mwalimu mmoja alinifundishsa tangu awali, hivi sasa nina miaka 37 lakini teacher yupo fresh sana. Kwa kweli hata mimi inanishangaza. Pia huyu teacher ni mwanamke ana watoto 8 ila hajaolewa .
MmmmmhIla kazi zetu sisi hizi tunazeeka mapema na kifo (WWW)

Hiyo takwimu ya lini?mkoa wa klmanjaro ndio unaongoza kwa life expectancy kwa mujibu wa takwimu