Hunihulumii Mkuu Walim Walivyo Weng Mtaani Wakisubili Ajira,, Nimebadili Ntaoa Mwl , haendi 9t wala hana vikao na boss
Mwl hana night, hana kusafirsafir rut kapewa na boss cjui, labda anaenda kushaisha mitihani, kurud nyumban zaid ya SAA 11 huyu ni wakuhojiwa zaidi, muda wa kulea familia,,,,
Hata alie oa mwalimu wengi wao unakuta wanaenda vizuri tu
Mfano: askar waliowengi wameoa mwalimu,
Viongozi waliowengi wameoa mwalimu, kada za afya waliowengi wameoa mwalimu,
Wafanyabiashara, na walimu kwa walimu wameoana
Ila wananidham kwwnye malezi huez kusikia ndoa imevunjika ovyo,,,,
Yaani walimu,,,