Kuna sababu gani mimi kuoa?

Kuna sababu gani mimi kuoa?

Utani au dharau juu ya neon MUNGU ningekusihi uache,MUNGU sio Magufuli hata umfanyie mzaha na mjadala ndani ya Jf,ukiona umemzoea sana endelea mkuu.

Kweli kabisa kwa akili yako unadhani mungu yupo?
 
Utani au dharau juu ya neon MUNGU ningekusihi uache,MUNGU sio Magufuli hata umfanyie mzaha na mjadala ndani ya Jf,ukiona umemzoea sana endelea mkuu.
Mkuu achana nae huyo
 
Mkono wakulia ni mke mkumbwa na mkono wa kushoto ni mke mdogo wewe panga zamu waoa nini
 
Salaam wanajukwa,

Ijumaaa hiyo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nina mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Hahahahah ndege wafananao huruka pamoja.Mungu ndio anakupa mke mwema namshukuru sana kunipa mume mwema na yeye kupata mke mwema.Kumbuka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo so kama mtakutana wote kenge so pole.
 
Hahahahah ndege wafananao huruka pamoja.Mungu ndio anakupa mke mwema namshukuru sana kunipa mume mwema na yeye kupata mke mwema.Kumbuka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo so kama mtakutana wote kenge so pole.
Ahsante mke mwema. endelea kumshukuru Mungu wako kwa kutenda juu yako
 
Salaam wanajukwa,

Ijumaaa hiyo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nina mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Maamuzi binafsi unatuuliza sisi? Kwani unaishi kuturidhisha sisi?
 
Katika mambo ya msingi tuweke kando hoja za kubuni kama dini. kwa ulimwengu wa leo kuoa si changamoto bali ni tatizo. Huku mtaani katika ndoa kumi, ya mfano wa kuigwa moja( ni mtazamo wangu). Maumivu ya moyo ni mengi. Faida kiduchu. Tatizo kubwa ni kuharibika kwa malezi ya kuishi 'responsibly' hasa wake kuukataa utawala wa waume zao na waume kuukana wajibu wao. nilisoma utafit kuwa asiyeoa anakufa miaka 5 kabla ya aliyeoa hasa kwa kuishi na hofu na upweke( mf. Ukiugua nani akusaidie etc). lakin sina hakika bado iko hivyo dunia ya leo ya usalit na ubinafs. inaweza kuwa kinyume sasa. Kwahiyo kama una social security nzuri katika kusaidiana hasa ugonjwa na uzee. Na kama unaamin hutapata mwenza ambaye atakuwa si kama wale......USIOE. hamna cha mno mle zaid ya interdependence na tafsir za kijamii na kidini. Kuoa ni wito. Ni kipaji. Ukikisupress utaumia zaid. Utajiona una tundu kubwa moyoni. Utapambana na utupu na utakufa mapema. Lakin pia Maumivu ya moyo yana gharama kubwa na hayatibik kirahisi. Afterall, we live once and for all
 
Back
Top Bottom