Ahsante kwa ushauri Mkuu. nna mzazi mmoja mwengine kishatangulia mbele za haki. Mkuu ukweli kabisa kila nikiwaza kuoa akili yangu inakataa kabisa kabisakwanza wazazi wako wanaishi maisha ya ndoa au vip? inawezekana ukawa muoga wa ndoa kutokana labla unaweza ukawa mbinafsi wewe mwenyewe na inawezakana ukawa unapenda kutoka na mademu tofauti tofati kumbuka ndoa huitaji kutafakari sana kabla ujaindia huko
tafuta wanasaikoloji wakupe ushauri kwa kina
Mkuu hiyo Avatar sio ya dada yangu, ni yule Gaidi Samantha. alielipua Westgate KENYAKwanza nilijua wewe ni mwanamke maana mwanaume rijali hawezi kuweka avatar ya dada yake.inaonesha una tabia za kike ndo maana huoni umuhimu wa kuoa.
NIKO TAYRI KABISA TENA KIROHO SAFI KUZAA NA KULEA MTOTOumdanganye nini sasa?unapenda kuwachezea wasichana afu huoi,ngoja wakuzalishie wanao bila ndoa ndio utajua utamu wake,what goes around,come back around...............................shaurilo
NIKO TAYRI KABISA TENA KIROHO SAFI KUZAA NA KULEA MTOTO
HahahahahahaMkuu hiyo Avatar sio ya dada yangu, ni yule Gaidi Samantha. alielipua Westgate KENYA
rebeka labda baadae ntabadili mindset yangu. niombee au nishauri usihukumu au kuwahukumu wanangu.
Nashukuru sanaBasi endelea kuwaza maana hata mimi naona ugumu wa kukushauri maamuzi yako hapa baada ya kuwaza yatakuwa sahihi zaidi ya haya tunayokupa hapa kwa kuwaza kwa muda mfupi tu huku wewe uliyewaza tangu kitambo kirefu hujapata jibu mi naona uendelee kuwaza