Kuna sababu gani mimi kuoa?

Kuna sababu gani mimi kuoa?

Humu duniani kuna kuumwa mara magonjwa mbali mbali, mara kuna ajali zinatokea kila siku, mara kuna kukosa hela sometimes, mara kuna kugombana na watu Saa ingine huna kosa, kuna kusingiziwa kesi Saa zingine polisi, mara kuna kukosa hela yaani tabu tupu!

Kuna marafiki zako wengi wamepitia hayo, wengine kuumwa, wengine kukosa hela, wengine ajali nk

Sasa niambie kuna faida gani wewe kuishi? Kwwnn usighaili kuishi ukajiua zako tu
 
Salaam wanajukwaaa.
Ijumaaa hiyoooo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nna mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Badilika. Uzalishe ww uwape tabu wengine. Tubadilike vijana wa mwendokasi. Zaa mtoto umlee mwenyewe,umpatie maadili mema. Mabadiliko
....
 
Humu duniani kuna kuumwa mara magonjwa mbali mbali, mara kuna ajali zinatokea kila siku, mara kuna kukosa hela sometimes, mara kuna kugombana na watu Saa ingine huna kosa, kuna kusingiziwa kesi Saa zingine polisi, mara kuna kukosa hela yaani tabu tupu!

Kuna marafiki zako wengi wamepitia hayo, wengine kuumwa, wengine kukosa hela, wengine ajali nk

Sasa niambie kuna faida gani wewe kuishi? Kwwnn usighaili kuishi ukajiua zako tu
mkuu kuishi na kuoa vitu viwili tofauti.
 
Badilika. Uzalishe ww uwape tabu wengine. Tubadilike vijana wa mwendokasi. Zaa mtoto umlee mwenyewe,umpatie maadili mema. Mabadiliko
....
Mkuu namlea vizuri sana huduma zoote natoa na huwa nakutana nae mara kwa mara na huwa anakuja kwangu na Mama ake, na nampenda sana
 
kwani si ulizaliwa na wazazi?,coming from happy,and peaceful home...km ni hivi na ww utataka umvishe ring mmojawapo wa wasichana wako,km ndoa ya wazazi ilivunjika au wewe ni mtoto wa nje,sitashangaa ukija na remarks km hizo.........................kuwa padre mkuu...🙄🙄🙄
naweza kua Padri lkn kwanini nimdanganye Mungu?
 
wakati ukiwaza na kuhesabu matatizo uliyo yaona na kusikia kwa wenzako na ndoa zilizovunjika
je umefanya uchunguzi kuwa ni wangapi walio kwenye ndoa na wazeeka pamoja??
unapowaza negative usisahau na positive pia. huwezi kuacha kufanya biashara kisa mwenzako kafilisika
 
Salaam wanajukwaaa.
Ijumaaa hiyoooo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nna mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Sasa kama unaweza kupata maziwa ya nini ufuge ng'ombe.
 
naweza kua Padri lkn kwanini nimdanganye Mungu?

umdanganye nini sasa?unapenda kuwachezea wasichana afu huoi,ngoja wakuzalishie wanao bila ndoa ndio utajua utamu wake,what goes around,come back around...............................shaurilo
 
Mkuu nitoe katoka mtizamo hasi unilete kwenye chanya, kwanini nioe?

kwanza wazazi wako wanaishi maisha ya ndoa au vip? inawezekana ukawa muoga wa ndoa kutokana labla unaweza ukawa mbinafsi wewe mwenyewe na inawezakana ukawa unapenda kutoka na mademu tofauti tofati kumbuka ndoa huitaji kutafakari sana kabla ujaindia huko
tafuta wanasaikoloji wakupe ushauri kwa kina
 
Back
Top Bottom