Kuna sababu gani mimi kuoa?

Kuna sababu gani mimi kuoa?

Mimi mwenyewe naona haina haja ya kuolewa as long as napata vyote ninavyovitaka bila kubanwa na mtu anayeitwa mume,
pia kuolewa inamaanisha lazima niwe najishusha kwa mume, niwe nakaa nyumbani kwa muda mwingi, na cu compromise uhuru wangu mwingi tu for the sake of ndoa,
nikaona ni ujinga, ila nikatafakari tena upya nikasema mume ndio anaweza kuwa rafiki yako wa muda mrefu hata kama aki cheat, ndio watu mtakuwa wote hadi uzeeni na ku share matunda ya malezi yenu, nikaona kuolewa ni bora kwa maslahi ya muda mrefu


"Nikaona kuolewa ni bora kwa maslahi ya muda mrefu"

Asee nimependa sana hii. Kama sijakosea haikuwa pressure sana kwako, kama ilivyo miongoni mwa wengi.

Cos apparently, "the conventional wisdom" has it that, we can't survive without marriage.
 
Salaam wanajukwa,

Ijumaaa hiyo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nina mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Basi siku zoote nikiona avatar ina picha ya KAIMA nafikiri wewe ni KE,kumbe ni ME? basi unisamehe,ila nakuomba usiweke picha ya mwanamke tena jukwaani,sababu itasababisha sisi wenye **** tukupigie PUCHU au vipi?
 
Kidini hao watoto unaozaa nje ya ndoa si wako...ni wa ukoo wa mama zao! Pia una uhakika gani kuwa watoto hao wawili ni wako na si wa wanaume wengine, kama scenario uliyojaribu kuichora ndiyo ipo hivyo?
According to dini ipi?

Kwani hata akioa mke wake hawezi kuzaa na mwanaume mwingine?
 
Salaam wanajukwa,

Ijumaaa hiyo kwa wale wenzangu na mimi ambao Magufuli hajatuathiri sana tukutane.

Niende kwenye mada moja kwa moja.

Nimekua nikisoma story za watu nimekua nikishudia mwenyewe. Hata wewe unaesoma hapa na mpenzi wa jukwaa hili jaribu kupitia Thread za huku. Nyingi ni kuumizana, usaliti, kuzaa nje ya ndoa, kula mashemeji na mambo chungu nzima ya kuudhi na kuumiza.

Nimetafakari sana nikajiuliza kuna sababu gani mimi KUOA?

Nimekua nikiona rafiki zangu waliooa wakiwacheat wake zao, wadada rafiki zangu wakiwacheat waume zao marafiki zangu ambao hawajaoa wana wapenzi zaidi ya watatu na wanawapanga si mchezo.

Mimi mwenyewe nina wapenzi zaidi ya wawili na hawajuani na nikiwafatilia nao hao wapenzi wangu nao wana wapenzi wengine.

Binafsi nina mtoto nimezaa na mdada mmoja ila sijapanga kumuoa. Kila nikipata wazo la kuoa aisee nikikumbuka mambo ninayosoma na kushuhudia nakufa moyo sitamani kabisa ndoa.

Marafiki zangu karibia wote wameoa, wadogo zangu nao wanataka kuoa ila mimi bado najiuliza naoa kutafuta nini? Si niongeze mtoto mwingine na mwanamke mwingine halafu nilee tu watoto? Kwanini kuleta maumivu ndani ya nyumba?

BADO NAWAZA
Mkuu usikimbilie kuoa kabisa

Mimi nipo katika situation hiyo hiyo, hakuna umuhimu wowote wa kukimbilia eti kuoa...kwanza wanawake wenyewe ndio hawa wa sikuhizi?

Tafuta Pesa...Kula bata...Saidia ndugu zako na wasiojiweza upate baraka.
 
hata mimi huwa najitahidi sana kujua kuwa kuna wanandoa wanaoishi kwa amani,tuache mikwaruzano midogo;yani wale ambao hawajawahi kuzinguana kwa kosa la mmoja kutokuwa mwaminifu katika mapenzi.kwakweli wanandoa wa hivi naishia kuwaona watu wazima ambao sasa hivi umri umeshaenda(sio wote lakini,na sijui huko nyuma ilikuwaje).nakata tamaa kabisa ya kuoa kwa sababu sipati mifano hai ya ndoa zilizotulia,kote matatizo mara michepuko,mara sms za mchepuko,mara fb,sijui whatsapp,picha chafu,hainaga ushemeji,ukisafiri wanakutenda,akiwa mbali yeye napo hatari,mara fumanizi,mara mtoto/mimba nje ya ndoa nk.
 
Ungetoa family background yako ningetoa hitimisho. Family background has an impact kwenye maamuzi ya namna hiyo, shida wala sio usaliti, uongo na kutokuwa waaminifu. Yawezekana you never felt the love toka kwenye familia. Ukisikia "there's nothing better than spending time with family" unaweza usinielewe.
 
Mkuu usikimbilie kuoa kabisa

Mimi nipo katika situation hiyo hiyo, hakuna umuhimu wowote wa kukimbilia eti kuoa...kwanza wanawake wenyewe ndio hawa wa sikuhizi?

Tafuta Pesa...Kula bata...Saidia ndugu zako na wasiojiweza upate baraka.
Mkuu kumbe tuko wengi sana. safi sana bora mtu ulee Yatima. usaidie wajane. usaidie Wazee kuliko kulete maumivu ndani.

wengine tunajijua roho zetu nyepesi sana, kuliko kumkosea Mungu wako bora uepuke
 
Basi siku zoote nikiona avatar ina picha ya KAIMA nafikiri wewe ni KE,kumbe ni ME? basi unisamehe,ila nakuomba usiweke picha ya mwanamke tena jukwaani,sababu itasababisha sisi wenye **** tukupigie PUCHU au vipi?
Karanja nenda PM
 
hata mimi huwa najitahidi sana kujua kuwa kuna wanandoa wanaoishi kwa amani,tuache mikwaruzano midogo;yani wale ambao hawajawahi kuzinguana kwa kosa la mmoja kutokuwa mwaminifu katika mapenzi.kwakweli wanandoa wa hivi naishia kuwaona watu wazima ambao sasa hivi umri umeshaenda(sio wote lakini,na sijui huko nyuma ilikuwaje).nakata tamaa kabisa ya kuoa kwa sababu sipati mifano hai ya ndoa zilizotulia,kote matatizo mara michepuko,mara sms za mchepuko,mara fb,sijui whatsapp,picha chafu,hainaga ushemeji,ukisafiri wanakutenda,akiwa mbali yeye napo hatari,mara fumanizi,mara mtoto/mimba nje ya ndoa nk.
Mkuu unaona eeh? mimi huwa nakaa naangalia. nikijaribu kuangalia hata viongozi wa kidini ndio nachoka kabisa.
hakuna haja ya kuoa labda tupate mtu atushawishi kwa hoja nguvu ya hoja, mpaka dakika hii sijaona hata mmoja au uzzoefu kwa alieoa atwambie kwanini alioa na kwanini anataka sisi tuoe
 
Ungetoa family background yako ningetoa hitimisho. Family background has an impact kwenye maamuzi ya namna hiyo, shida wala sio usaliti, uongo na kutokuwa waaminifu. Yawezekana you never felt the love toka kwenye familia. Ukisikia "there's nothing better than spending time with family" unaweza usinielewe.
nadhani family background haiwezi kutoa picha halisi Mkuu, angalia mifano yangu hapo juu imejikita wapi.
 
Back
Top Bottom