Hivi karibuni mh waziri Mkuu alikua na ziara mkoani Tabora ya zaidi ya wiki na katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, Mh. Raisi nae yuko kwenye ziara ya kikazi mkoani humo Tabora. Swali najiuliza kulikoni viongozi wa kitaifa kutoka chama hicho hicho kutembelea mkoa mmoja kikazi kwa kipindi kifupi hivyo?
Kwani raisi asingeweza kumwagiza Pinda kufanya hayo anayoyafanya yeye sasa na kuokoa gharama, au ndio wameagizwa na RA wakamsafishe kiaina huko??
Kwani raisi asingeweza kumwagiza Pinda kufanya hayo anayoyafanya yeye sasa na kuokoa gharama, au ndio wameagizwa na RA wakamsafishe kiaina huko??