bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,380
- 6,852
Nakubaliana na wewe kuwa muandishi na hata baadhi yao humu wanadhania labda hii dunia ni kwa ajili ya binadamu tu. Hivi Mwenyezi Mungu kama alitaka binadamu tu wawepo hapa asingeumba na hao viumbe wengine. Kila kiumbe kina umuhimu wake katika dunia hii yetu, kwa hivyo tusijifanye eti sisi ni wajuaji wa kuamua kiumbe gani kiondolewe na kipi kibaki.Muandishi ni PhD kweli?? Hivi anajua maana ya bio diversity kweli? Hajui kwamba binadamu pia inategemea species tofauti ili tuweze kusurvive? Anafahamu mentallity ya binadamu ni bora kuliko ndege na wadudu ndio ilisababisha moja ya janga kubwa katika historia ya dunia?
Great Leap Forward 1958-62: Vita ya mwanadamu dhidi ya viumbe ilioua watu Million 50
Habari za sikukuu wana JF natumaini kila mtu ni mzima wa Afya bila kupoteza muda twende kwenye mada na ningeomba tuisome kwa umakini sana maana kuna jambo kubwa nataka tujifunze mwishoni, Karibuni. UTANGULIZI Tumeshazoea mara zote vita ni kati ya mataifa na mataifa au serikali na waasi n.k...www.jamiiforums.com
Inaweza kuwapo sababu bora zaidi za kupromote mradi huu ila sio kwa sababu eti vipepeo sio bora kuliko binadamu, very illogical argument.
Muandishi kwa kweli anahitaji kupata elimu kubwa kuhusu bioanuwai.