Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,978
Hizo gari chakavu mnazonunua ambazo zina pollute mazingira huwa mnazifikiria?Naomba nipinge kwa nguvu hoja yako hapa
Kwani shida kubwa ya Afrika ni umeme pekee??
Kwani chanzo Cha nishati kwa Afrika nzima ni HEP pekee??
Hiyo hadithi ya River congo Hydroelectricity power kuwa ingekuja kusapply umeme umeiitoa wapii??
Stiglarz hainuki uharibifu wa mazingira hadi mvua za vuli kukosekana ukanda huo wa Morogoro????
Tusijaribu kuwapa majina mabaya wanaotushauri