Kuna nini kinaendelea CCM?

Kwani kamba yako ina urefu gani wewe?
Mbona unalalamika sana?
 
Mishara ikosekane na Kihongosi anatembea ziara kama Rais wa nchi jamani, anyway sijui
 
Jitahidini msiibe pesa za serikali kwa ajili ya chama chenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…