Mzee Mwanakijiji,
Lakini yawezekana sisi wananchi ndio hatujui mchezo wa mgonjwa alolazwa ICU akitetemeka kwa hofu ya kufa tukidhani anapandisha mashetani na dhikiri. tatizo kubwa ni kutoelewa WATU na MAZINGIRA maanake kuna watu waliondoka Muhimbili, O'bay na Lugalo wakaenda Loliondo kwa imani tu kwamba kikombe cha babu kitawaponyesha kuliko tiba ya hospital. Tumewaona wazee na wakubwa wote wakienda huko wengine tukajiuliza kulikoni?... wengine tukafunga safari nasi kwa mkumbo ule ule maadam kenda Lowassa basi lazima kuna tiba, kumbe mwenzetu ndio yuko ktk mkakati wa kuvuta wachezaji ili ngoma yake ipate kunoga...
Sasa, maadam imani ya tiba toka Hospital imekwisha na uchawi ama uganga sasa hivi ndio umeshika maamuzi ya wahitaji wengi, tutaendelea kucheza ngoma za kichawi na yeyote anayepinga ngoma za mizimu atafanyiwa kafara...(kina Mwakyembe). Na kibaya zaidi tumeshindwa kujiuliza kwa nini watu wengi hawaendi tena Hospital badala yake wanachezeshwa ngoma za kiasili? - UWEZO! ni asilimi 20 tu ya wananchi wote wanaweza kugharamia tiba ya Hospital zetu, sasa mtu kwenda Loliondo sii kwa sababu anapenda ama kuamini isipokuwa unafuu wake ndio umempa imani mpya...Watu wengi hawailewi katiba mpya italeta ama ina ubora gani kwa sababu hawajawahi kucheza ngoma nyingineyo..
Katiba Mpya haitapatikana kwa matakwa yenu..Hili sio Disco mnakocheza kwa santuri, CD na Video zenye ujuzin wa kubadilisha kila muziki, bali ngoma ya kienyeji ambayo haina vimbwenga vya keyboard mnavyotaka vijana wa generation hii. Sasa aidha mcheze ngoma yao, mvae njuga na madogoli mtaweza kuielewa ngoma yao, laa sivyo tafuteni uwanja mwingine..CCM will never, and I mean never let the Constitution inayowalinda na waliyoizoea ibadilishwe na kuwa ngoma za vijana wa Madisco. Bado mizee tumeshika hatamu na ngoma za kienyeji zitaendelea kupigwa na kama mnataka mabadiliko lazima yawe ktk ngoma za asili..Sisi wazee tutaweza vipi kucheza ngoma yenu vijana? - aaaaah!
Lakini yawezekana sisi wananchi ndio hatujui mchezo wa mgonjwa alolazwa ICU akitetemeka kwa hofu ya kufa tukidhani anapandisha mashetani na dhikiri. tatizo kubwa ni kutoelewa WATU na MAZINGIRA maanake kuna watu waliondoka Muhimbili, O'bay na Lugalo wakaenda Loliondo kwa imani tu kwamba kikombe cha babu kitawaponyesha kuliko tiba ya hospital. Tumewaona wazee na wakubwa wote wakienda huko wengine tukajiuliza kulikoni?... wengine tukafunga safari nasi kwa mkumbo ule ule maadam kenda Lowassa basi lazima kuna tiba, kumbe mwenzetu ndio yuko ktk mkakati wa kuvuta wachezaji ili ngoma yake ipate kunoga...
Sasa, maadam imani ya tiba toka Hospital imekwisha na uchawi ama uganga sasa hivi ndio umeshika maamuzi ya wahitaji wengi, tutaendelea kucheza ngoma za kichawi na yeyote anayepinga ngoma za mizimu atafanyiwa kafara...(kina Mwakyembe). Na kibaya zaidi tumeshindwa kujiuliza kwa nini watu wengi hawaendi tena Hospital badala yake wanachezeshwa ngoma za kiasili? - UWEZO! ni asilimi 20 tu ya wananchi wote wanaweza kugharamia tiba ya Hospital zetu, sasa mtu kwenda Loliondo sii kwa sababu anapenda ama kuamini isipokuwa unafuu wake ndio umempa imani mpya...Watu wengi hawailewi katiba mpya italeta ama ina ubora gani kwa sababu hawajawahi kucheza ngoma nyingineyo..
Katiba Mpya haitapatikana kwa matakwa yenu..Hili sio Disco mnakocheza kwa santuri, CD na Video zenye ujuzin wa kubadilisha kila muziki, bali ngoma ya kienyeji ambayo haina vimbwenga vya keyboard mnavyotaka vijana wa generation hii. Sasa aidha mcheze ngoma yao, mvae njuga na madogoli mtaweza kuielewa ngoma yao, laa sivyo tafuteni uwanja mwingine..CCM will never, and I mean never let the Constitution inayowalinda na waliyoizoea ibadilishwe na kuwa ngoma za vijana wa Madisco. Bado mizee tumeshika hatamu na ngoma za kienyeji zitaendelea kupigwa na kama mnataka mabadiliko lazima yawe ktk ngoma za asili..Sisi wazee tutaweza vipi kucheza ngoma yenu vijana? - aaaaah!