Yes mchezo wenyewe ni katiba. Kila mtu anaitaka lakini wananchi walio wengi including wapinzani wamegoma kucheza mpaka kanuni zifuatwe. CCM wanatulazimisha tuingie tucheze lakini bila kanuni hamna raha ya mchezo. Ni wazi upinzani wamekataa kabisa kuingia kucheza; wamekaa pembeni, sijajua wanachi wameamu nini hasa. Je wamekaa pembeni tu au wanampango wakuingia na kuvuruga mchezo mzima ili tuanze upya kwa taratibu/kufuata kanuni? Au watakubali kucheza kama wanavyoshauriwa na CCM bila kufuata kanuni?
asante mk., huu ni mchezo wetu wa katiba, tumeona mapigo na mashairi haviendi ila ssm wanacheza ili mradi wacheze na ionekane unacheza, cdm na nccr wamejitahidi kubadilisha mapigo ya mziki wakakataliwa ma kutukanwa na kudharauliwa, kisa mapigo yasibadilishwe hata kama haviendi, walio wengi tanzania hii ngoma wanailewa,
wameshauri sana, ngoma kubadilishwa,
wenye hatamu hawataki kisa kitambua kitaigiw amchanga,
sisi tukae pembeni bomu hili litakuja pasuka,
wanajiita wasomi, ndani ya ssm wamekaa,
uweledi wao tunaoji mbona wafaa mipasho,
mtazamo wao ukoja mambo muhimu kupuuzia,
waliowabeza kwa mbwembwe huku kwetu ndo mashujaa,
wanazuoni nguli washauri wao wawaona makapi,
wajiona sheria navifungu wavijua huku twasema hamnazo
siku itafika nasema wote watashangaa
kisu ulichomnolea mtu, kitakuja kukuchinja mwenyewe!