Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Kuna maisha baada ya kupigwa kibuti

Ingekua kuacha ni rahisi hivyo dunia ingekua nzuri
Hakuna anaependa kuachana, hakuna anaetarajia kuachana, kuna situation ikikufika huna budi ukubali tu kuachana ndio last option, nikupe mfano, umekua na mpenzi wako mmedumu miaka chungu nzima lakini kila unachofanya kwake sicho pengine amekua akikupa alama za kuonesha haupo moyoni mwake umejitahidi kusema mtu habadiliki na bado awe mwiba utavumilia had lini? Why uumie kila siku usononeke kila siku??
 
Hakuna anaependa kuachana, hakuna anaetarajia kuachana, kuna situation ikikufika huna budi ukubali tu kuachana ndio last option, nikupe mfano, umekua na mpenzi wako mmedumu miaka chungu nzima lakini kila unachofanya kwake sicho pengine amekua akikupa alama za kuonesha haupo moyoni mwake umejitahidi kusema mtu habadiliki na bado awe mwiba utavumilia had lini? Why uumie kila siku usononeke kila siku??
Unaachana nae ila machungu ya kuachana nae hayaondoki haraka hivyo.
 
Kuna watu kureplace bf ni mwezi tu tena anakwambia kabisa anampenda bf mpya nabaki najiuliza anapata wapi moyo wa kupenda haraka hivyo.
Alikuwepo kipindi yuko na huyo aliekua ex, kwa mwenye kupenda kweli hathubutu
 
Unaachana nae ila machungu ya kuachana nae hayaondoki haraka hivyo.
Ndugu yangu hujakutana na madhila yakakufanya hata hayo mapenzi yakaondoka moyoni yakabaki maudhi,na hujaamua tu, jiambie mm ni special pia siwez kuumia kwa mtu asiejua thamani yangu na ukishakubali hali bas umejitibu jeraha tena unakua na amani moyon
 
Kulikuwa na maisha kabla yake na kuna maisha baada yake, hatukuumbwa kwa pair kusema baada ya huyu hakuna mwingine..

Ndio maana napenda kupendwa kuliko kupenda zaidi.. Najua moyo wangu ulivyo naweza kurudisha upendo ninaopewa, ngumu kulipenda jitu silielewi.
 
Ndugu yangu hujakutana na madhila yakakufanya hata hayo mapenzi yakaondoka moyoni yakabaki maudhi,na hujaamua tu, jiambie mm ni special pia siwez kuumia kwa mtu asiejua thamani yangu na ukishakubali hali bas umejitibu jeraha tena unakua na amani moyon
Maumivu nayo yana mwisho mpenzi. Haimaanishi eti kafanya udhi moja unamwacha. Mpaka unatua mzigo maudhi yanakua yameshakufika hapaa. Na ukiacha wala hutarudi nyuma
 
Kulikuwa na maisha kabla yake na kuna maisha baada yake, hatukuumbwa kwa pair kusema baada ya huyu hakuna mwingine..

Ndio maana napenda kupendwa kuliko kupenda zaidi.. Najua moyo wangu ulivyo naweza kurudisha upendo ninaopewa, ngumu kulipenda jitu silielewi.
Tuko njia moja
 
Maumivu nayo yana mwisho mpenzi. Haimaanishi eti kafanya udhi moja unamwacha. Mpaka unatua mzigo maudhi yanakua yameshakufika hapaa. Na ukiacha wala hutarudi nyuma
Na hapo ndio namaanisha, kosa moja haliachi mke, tena bas sisi wanawake tunastahmili mno lakini tukichoka thnachoka kweli na hakuna kurudi nyuma
 
Back
Top Bottom