Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,824
Kwa hiyo kuna koloni jipya tena?Yataisha tu huu uzi pia umeniongezea kitu lkn mazingira mapya pia yamesaidia pakubwa
Kwa hiyo kuna koloni jipya tena?Yataisha tu huu uzi pia umeniongezea kitu lkn mazingira mapya pia yamesaidia pakubwa
Bado kwakweli nataka niwe makini kidogo mke mwema anatoka kwa MunguKwa hiyo kuna koloni jipya tena?
Kazana kufunga na kusali maana sio jambo l a mchezo mchezo kabisaBado kwakweli nataka niwe makini kidogo mke mwema anatoka kwa Mungu
Inaonekana umeumizwa sanaAcha kabisa mkuu
Nilikotoka sio kuzuri ukisimulia mtu ataona hii chai ya jua kaliInaonekana umeumizwa sana
Naomba kidogo kastoriNilikotoka sio kuzuri ukisimulia mtu ataona hii chai ya jua kali
Madame hii ni changamoto sana inaitaji maneno ya kuamua na kuendelea mbele..japo ni kazi nilipambana nayo sana.Asante, tutambue tu kuna watu wanakuja kwneye maisha yetu kama baraka wengine huja kama mafundisho. Ukianguka unanyanyuka unajifuta vumbi unaendelea mbele, yeye si wa kwanza na wala hawezi kua wa mwisho,
Kubwa na cha msingi ni kujua hakua riziki yako pamoja na kujitoa kwake kwa hali na mali, utapata atakayejua thamani ya machozi yako na kukupa upendo mara mbili ya ulioutoa
Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee kubali hali, lia unavyoweza hakikisha ukitoka hapo hulii tena then move on with your life.
Haihitaji maneno tu inataka kuamua tu na kukubali hali,Madame hii ni changamoto sana inaitaji maneno ya kuamua na kuendelea mbele..japo ni kazi nilipambana nayo sana.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Hakika ni habari njema na kumshukuru mungu kwa uzima wake.Kabisa bila mashaka
[emoji23] [emoji23]Unachukua sim kwa hasira una delete namba zote..mala paaa moyo unauma namba unayo kichwani hapo ndio utajua kinyonga why hana haraka[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Hhahahahaa boranuwe hujaishika kichwanUnachukua sim kwa hasira una delete namba zote..mala paaa moyo unauma namba unayo kichwani hapo ndio utajua kinyonga why hana haraka[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Hapa umeandika,thats true
Sio kunakooo mwaga soda.Shemeji leo umenikuna kunakoooo kunywa sodaaaa
Nilipenda mpaka nikafeli mitihani na kukonda nikakonda maradufu, sema ndo hivyo niliamua kuchukua maamuzi mapema ya kumwambia tuachane na yeye akajibu poa,Bado hujapenda kisawasawa wewe
Huwa napenda Sana sio kidogo, ila ninapoona maumivu yanazidi huwa najiuliza, "kabla ya kukutana nae nilikuwa naishi vipi?" Nikishapata jibu la hapo tu basi nachukua maamuzi haraka sana na huwa sijutiiUnakua umependa kweli mkuu?
agiza nakuja kulipa bill zote mdogo wanguKupigwa kibuti sioo sababu ya wewe kuzeeka kwa vilio vya masononeko na lawama za Why me Lord Why me kama Shaggy..Tabasamu lako lazima liendelee kipindi cha Jua au kipindi cha mvua..Hakuna Binadamu mwenye kauli ya mwisho kwa furaha na smile yako,There is life still after a break up,kama alivyokuja kwenye maisha yako na kukukuta unasmile muache aondoke peke yake na aliache smile pale alipolikuta..Usimfanye ajihisi yeye ndo malkia saaaanaaa,au yeye ndo mfalme kiivyo,kwamba alipoondoka maisha yako yame-shake,kwani yeye ni nani??Alichangia hata koleo moja kwenye karai la udongo aliotumia Mungu kukuumba???Tupa kule...
Ladies and Gentlemen,Keep smiling always no matter what,wewe ni kama ATM ya NMB,People will always come in,withdraw money and go,Huna haja ya kumlilia mpuuzi yeyote asiyejua thamani ya Penzi lako!
Kamata glass tugonge cheers[emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482]
Mkuu elezea kidogo tujifunze kituIlibaki kidogo tu nife aisee
Kuachwa kugumu nyie
asante....[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi umenizidi umri eeh??nikupe cheo chako cha dadaagiza nakuja kulipa bill zote mdogo wangu