D
Deleted member 485868
Guest
Kwema?Hahaha kwann?
Kwema?Hahaha kwann?
Pole super woman,Mungu akupe moyo wa ujasiri,usiumizwe tenaYaani haya mapenzi yanaumiza watu mpaka inafikia hatua mioyo yetu inakuwa sugu. Hata uumizwe vipi hupati maumivu.
Me nilishasema sitakaa nitoe chozi tena katika maisha yangu kisa kulilia mapenzi. Niliyoyatoa yanatosha [emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113].na MUNGU anisaidie
Kwema kabisaa mamaKwema?
[emoji124] [emoji124] nikapunguze hasira ntarudiMimi nina uhakika braza hawezi kukufanyia hivyo
Polee sanaYaani haya mapenzi yanaumiza watu mpaka inafikia hatua mioyo yetu inakuwa sugu. Hata uumizwe vipi hupati maumivu.
Me nilishasema sitakaa nitoe chozi tena katika maisha yangu kisa kulilia mapenzi. Niliyoyatoa yanatosha [emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113].na MUNGU anisaidie
Una nini leo?Usimsemee
UnajuaUna nini leo?
Nakusalimia GLove game
Njoo hapa babe[emoji124] [emoji124] nikapunguze hasira ntarudi
Shukrani, imani yangu kuwa wewe ni mzima.Nakusalimia G
Asante. InsaalahPole super woman,Mungu akupe moyo wa ujasiri,usiumizwe tena
Sawa shem[emoji124] [emoji124] nikapunguze hasira ntarudi
Ahsante sana nakaribia kupoa maumivu ya mwisho..Pole mbabe
Kumbe maumivu bado yapo yapo??yanatakiwa yaisheAhsante sana nakaribia kupoa maumivu ya mwisho..
Kabisa bila mashakaShukrani, imani yangu kuwa wewe ni mzima.
Yataisha tu huu uzi pia umeniongezea kitu lkn mazingira mapya pia yamesaidia pakubwaKumbe maumivu bado yapo yapo??yanatakiwa yaishe
AiseeeKuna wakati nliwahi kufikiria kuhama nchi wallah tena sema shule tu na kuihurumia Ada ya mzee aliyokuwa kapoteza
Acha kabisa mkuuAiseee