👊Ulifanya maamuzi sahihiHawalielewi hili. Mtu mpaka unaamua kuingia ndoani ni wazi kuwa Kuna mambo lazima ukubali yabadilike ikiwemo uhuru wako. Uwezi ishi ndoani kihuni huni tu.
Kama hukuwa tayari kwa ajili ya maisha ya ndoa ni bora usiolewe.
Nna binamu yangu tulisoma wote na tulikuwa tumezoeana Sana hasa kuwasiliana ila alivyoolewa mwaka juzi nilikata Yale mazoea na nikamwambia aiheshimu ndoa yake.
we tuache tu!! Tushazoea matatizo usitusemee 😟😭Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.
Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe
Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
Wew mbona unakua mwema sana kwetu shida nin🤔🤔Mambo ni magumu...afu ni kama tunapiganiwa wanawake kuja kuitawala dunia
Tena na mdadaLeo tumekumbukwa🥲🥲
Before you put ur trust on her, firstly ask ur dad permission to do so,cos he knows her better 🤦I've learned the only Person you can trust is your Mom.
Wanataka wawe kama wanawake, wapewe haki zao za kuwa mashogaNahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.
Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe
Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
Hahahahha! Namwambia wanaume hawatetewi tushazoea tuache ka tulivo😂😁😀Wanataka wawe kama wanawake, wapewe haki zao za kuwa mashoga
Dad permission isn't necessary because him isnt yoursBefore you put ur trust on her, firstly ask ur dad permission to do so,cos he knows her better 🤦
Yaan wanaume wamekuwa hatari sana
So long as you consider women are betrayal creatures,please do not exclude your mamas,unless ur dad's confirmation 😂😂Dad permission isn't necessary because him isnt yours
Sawa kabisa MkuuSisi wanaume ni ukituelewa utatuburuza upendavyo ila usipotuelewa ndo ivo itafatana na akili zake muhusika mwenywe.
Kikubwa mwanaume mwachie uanaume wake usijaribu kumwingilia au kumpokonya HAKI,CHEO au WADHIFA wake kama mwanaume kwa kigezo cha kwamba anatakiwa tu AJIAMINI maana ndo hua kamsemo kenu.
Mwisho kama kakutongoza na hujampenda basi usithubutu kupokea kutumia au kula MUDA wake, MALI ama pesa yake, maana ivo ndo vitu anavyotumia kulinda uanaume wake kwako so unapovitumia alafu ukaacha kumpa ivo nilivosema Haki,cheo,na wadhifa wake vile anavyostahiri kulingana na alivotoa ndo itaona vita au ndo utaoma matokeo kama ayo mnayosema kua WANAUME NI HATARI SANA.
Nadhani kama we KE basi una nafasi yako mbinguni. Wanaume tujipende wenyewe kwanza kabla ya kupenda mtoto wa mtu. This shit is taking a lot mens life kimasihara tu. Binafsi ukizngua bora kila mtu afe kivyake sio mambo ya kupelekana kama magari mabovuNahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.
Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe
Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
No one is more real than ur Mom,She'll tell u how it is to ur face,but pray for u behind ur backBefore you put ur trust on her, firstly ask ur dad permission to do so,cos he knows her better 🤦
Ulifanya vyema tofauti na wengi wetu namna tungelichukulia kawaida.Hawalielewi hili. Mtu mpaka unaamua kuingia ndoani ni wazi kuwa Kuna mambo lazima ukubali yabadilike ikiwemo uhuru wako. Uwezi ishi ndoani kihuni huni tu.
Kama hukuwa tayari kwa ajili ya maisha ya ndoa ni bora usiolewe.
Nna binamu yangu tulisoma wote na tulikuwa tumezoeana Sana hasa kuwasiliana ila alivyoolewa mwaka juzi nilikata Yale mazoea na nikamwambia aiheshimu ndoa yake.