Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kutatua shida hii ya migogoro ya ndoa jamii inatakiwa kujenga vizur malez ya watoto pande zote ili wasiwe masingo maza na faza pia wawe huby n wife material wanaoweza kuish katika maadili ya kiafrica yenye kutendeana mema ndani ya familia na kuvumiliana, kinyume na apo arusha kule mabint washajipindia mtatoana macho adi mkome.
 
Kutatua shida hii ya migogoro ya ndoa jamii inatakiwa kujenga vizur malez ya watoto pande zote ili wasiwe masingo maza na faza pia wawe huby n wife material wanaoweza kuish katika maadili ya kiafrica yenye kutendeana mema ndani ya familia na kuvumiliana, kinyume na apo arusha kule mabint washajipindia mtatoana macho adi mkome.
Amri ya sita Uzizini isikiukwe
 
Naona ujio wa midoli inaanza kurejesha fahamu zenu🙌🙌🙌

Sisi hatuhitaji pa kusemea tutaishi hv hv 😁
Wanatuomba tuseme wakati tatizo lao wanalijua la kuomba omba ela, kucheat, kunyima mbususu mume na kua mkaidi na jeuri
 
Wanatuomba tuseme wakati tatizo lao wanalijua la kuomba omba ela, kucheat, kunyima mbususu mume na kua mkaidi na jeuri
Hamna ambacho hawakijui wanatuzuga tu hao, vijana walianza harakati mapema za kusaka mbadala ikiwemo kampeni ya kataa ndoa....Kuna kitu walikua wanakiona lkn wanakosa namna sahihi ya kupresent na pia kusolve lkn technology imekuja kuwaokoa
 
Hamna ambacho hawakijui wanatuzuga tu hao, vijana walianza harakati mapema za kusaka mbadala ikiwemo kampeni ya kataa ndoa....Kuna kitu walikua wanakiona lkn wanakosa namna sahihi ya kupresent na pia kusolve lkn technology imekuja kuwaokoa
Zile Pc za technology ni kali sana broo nmeshangaa nmeota ndoto usiku naila moja dah
 
Hamna ambacho hawakijui wanatuzuga tu hao, vijana walianza harakati mapema za kusaka mbadala ikiwemo kampeni ya kataa ndoa....Kuna kitu walikua wanakiona lkn wanakosa namna sahihi ya kupresent na pia kusolve lkn technology imekuja kuwaokoa
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom