Tatizo hiloUjana mwingi
Ndivyo mlivyo, hakuna mapenzi ndani yenu mko kibiashara 80%🤣🤣🤣 Daa,maisha haya sometimes yanachekesha...pole mkuu
Mtego huo 😂🤣🤣🤣🤭 Alioga kabisa
Hawalielewi hili. Mtu mpaka unaamua kuingia ndoani ni wazi kuwa Kuna mambo lazima ukubali yabadilike ikiwemo uhuru wako. Uwezi ishi ndoani kihuni huni tu.Na hapa ndio wanapofeli.
Kama huwezi usichukulie kawaida mwanaume kuchapiwa na ajuesiwezi kuvumilia aisee,,,
Ndo msijinyonge sasaKwa bahati nzuri wanaume tumeumbwa na mfumo wa kutatua matatizo yetu wenyewe bila kumuelezea mtu yeyote linalokusibu na maisha yakaendelea, hayo mambo ya hovyo yanayotokea ni kutokana na muhusika ule mfumo unakua hauko thabiti Sana.
Mimi hata huyo Mama alinishanipiga matukio.I've learned the only Person you can trust is your Mom.
Huoni hiyo 80%Siyo wote .... wanawake tukipenda tunapenda kweli