Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Wanawake mnapaswa(siyo kujitahidi au kujaribu)kuwa waaminifu kwenye ndoa au mahusiano yenu.Mwanaume kaumbwa kutokuikubali dharau.Na kwa asili mwanaume ni mchoyo mnoo,tena mnoo!Kuwa makini usimchezee hisia zake.Ishi kwa tahadhari na si kwa kumzoea.Hazoeleki.
 
Na kwa taarifa za upande wa pili (mume) anadai kuwa huyu mwanamke amepigwa na mchepuko baada ya kwenda kumfumania huyu mwanamke akiwa na mjomba wake wanaojihusisha.

Yaani hadi mchepuko kwa sasa ana haki ya kwenda kufanya fumanizi.
Aaa,kageuza kesi huyo
 
Wanaume tunabeba mengi sanaa. Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kutembea na mwanaume mwenzagu kunatia dharau kubwa ambayo haibebeki. Yani Bora ukasagane au ufe kuliko kunidhalilisha kias hiki
Ni kweli usaliti si kitu chema kiukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom