Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Ni heri mwanamke usagane na mwanamke mwenzako nitakusamehe kuliko utoe utelezi kwa mwanaume mwenzangu
 
Hata mama sometimes anaweza kukuangusha

Hakika yaani ni ukweli asilimia kubwa sana nilipitia kipindi kigumu na Mama yangu akanifukuza home kama Mbwa na wakati huo nilikuwa nimepata skull fracture yaani mpaka nilikuwa nimepooza mkono wa kushoto 😭😭😭
Mungu pekee yake ndiye hawezi kukuacha. Ondoa kabisa tumaini lako kwa Binadamu mwenzio.
To yeye
 
Hakika yaani ni ukweli asilimia kubwa sana nilipitia kipindi kigumu na Mama yangu akanifukuza home kama Mbwa na wakati huo nilikuwa nimepata skull fracture yaani mpaka nilikuwa nimepooza mkono wa kushoto 😭😭😭
Mungu pekee yake ndiye hawezi kukuacha. Ondoa kabisa tumaini lako kwa Binadamu mwenzio.
To yeye
Very sad,Kuna muda wazazi tunazingua mno😭
 
Hakika yaani ni ukweli asilimia kubwa sana nilipitia kipindi kigumu na Mama yangu akanifukuza home kama Mbwa na wakati huo nilikuwa nimepata skull fracture yaani mpaka nilikuwa nimepooza mkono wa kushoto 😭😭😭
Mungu pekee yake ndiye hawezi kukuacha. Ondoa kabisa tumaini lako kwa Binadamu mwenzio.
To yeye
Muhimu kusamehe maisha yaendelee mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom