Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Alikubuhu,ila long distance relationship nayo si njema
Kunguru hafugiki toka sitokii..

Mwanamke kama ni anatabia za kurukaruka anaweza kumwacha mume wake nyumbani na kwenda kufanya ufuska anapojua yeye.

Long distance relationship isiwe sababu ya kuhalalisha tabia za ufuska, kwani kuna wanawake wanaotumikia vifungo na bado wanaweza kuishi pasipo ya tendo.. Iweje wewe ushindwe kutumikia kifungo chako cha ndoa?

Wengine wakati wanaenda na pete wanaivua kabisa hiyo ni kumaanisha ni tabia na kamwe haitobadilika..
 
Hao wanaofanya hivyo ni washamba bado, mwanamke kwangu mm ni wa kutomber na kuridhika kisha anizalie watoto imeisha hiyo, wakati anatimiza hayo nami nitakuwa natimiza yangu kama mwanaume sababu ananipa starehe ninayoipenda na ananizalia watoto, mambo ya kujifanya unampenda sana mwanamke ndo huleta kadhia hizo mbeleni, sisi wanaume tunapambana sana kwa ajili ya wanawake but they don't give a fucckk, ukijifanya upo serious na mwanamke atakidharau kwa kuona kakumata na huchomoki, jifurahishe mwenyewe akikupa kumer tomber furahi, pata nae watoto lea nae lakini usijikomiti kwa mwanamke hata siku moja
 
Ndio hvyo sasa huyo Dada watoto kawaacha wenyewe na ni usiku na taarifa hakutoa kwa mumewe. Yawezekana alitoka kugawa utelezi
Kama mjomba alikuwa na mazungumzo naye angemfuata nyumbani na si kwenda kukutania mjini..

Mtu kutoka mjini hadi daraja mbili ni kitendo cha dakika kumi tu, alishindwa vipi kwenda nyumbani?

PT na majibu yao ya mkato eti WIVU WA KIMAPENZI, yamepitwa na wakati ni vyema kutokutoa taarifa kabisa.
 
Kama mjomba alikuwa na mazungumzo naye angemfuata nyumbani na si kwenda kukutania mjini..

Mtu kutoka mjini hadi daraja mbili ni kitendo cha dakika kumi tu, alishindwa vipi kwenda nyumbani?

PT na majibu yao ya mkato eti WIVU WA KIMAPENZI, yamepitwa na wakati ni vyema kutokutoa taarifa kabisa.
1-Kupeana miadi ya kukutana kuzingatie muda na sehemu yenyewe.Kwa nini usiku tena mbali na nyumbani?
2-Ulilolieleza kuhusu polisi kutoa habari za "hitimisho" inaleta ukakasi sana.Ni udhaifu,kuonesha kutotumia utaalamu wao kutafuta ukweli/haki iliyopo katika tukio.Ni uvivu unaokirihisha kutoa tu hitimisho la tukio kwa sentensi nyepesi kwa habari nzito.Polisi wajirekebishe katika hilo.
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.

Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.

Mie naamini Suluhu itapatikana.
TUKISEMA KIJANA KATAA NDOA, NI KWA SBB MWANAUNE ANATESWA ZAIDI NA NDOA. KUKAA MBALI , NI KUJIHAKIKISHIA MAISHA MAREFU YA UTULIVU NA AMANI
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.

Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.

Mie naamini Suluhu itapatikana.
Asikudanganye mtu my,
WANAUME wanawivu kupindukia.
Mume wako jitahidi sana sijue kama unacheat au kuhisi chochote jitahidi sana my.
Usijaribu kumcheat mume my.
 
Kama mjomba alikuwa na mazungumzo naye angemfuata nyumbani na si kwenda kukutania mjini..

Mtu kutoka mjini hadi daraja mbili ni kitendo cha dakika kumi tu, alishindwa vipi kwenda nyumbani?

PT na majibu yao ya mkato eti WIVU WA KIMAPENZI, yamepitwa na wakati ni vyema kutokutoa taarifa kabisa.
Huyo alitoka kuchepuka kwa mazingira hayo ni dhahiri alimsaliti mumewe.
 
TUKISEMA KIJANA KATAA NDOA, NI KWA SBB MWANAUNE ANATESWA ZAIDI NA NDOA. KUKAA MBALI , NI KUJIHAKIKISHIA MAISHA MAREFU YA UTULIVU NA AMANI
Ni kweli,lakini inatakiwa tusikimbie tatizo mkuu
 
Kunguru hafugiki toka sitokii..

Mwanamke kama ni anatabia za kurukaruka anaweza kumwacha mume wake nyumbani na kwenda kufanya ufuska anapojua yeye.

Long distance relationship isiwe sababu ya kuhalalisha tabia za ufuska, kwani kuna wanawake wanaotumikia vifungo na bado wanaweza kuishi pasipo ya tendo.. Iweje wewe ushindwe kutumikia kifungo chako cha ndoa?

Wengine wakati wanaenda na pete wanaivua kabisa hiyo ni kumaanisha ni tabia na kamwe haitobadilika..
Ni kweli kabisa
 
Mnapokula pesa zetu ndefu halafu mwisho wa siku mnaingia mitini/cheat hii inaumiza na inatia hasira.
🤣🤣🤣 Daa,maisha haya sometimes yanachekesha...pole mkuu
 
As a member of the CRA (Comment Reading Association), I’m here only to read comments. Please keep the comments short and simple. We do appreciate your typing efforts. Thank you and have a great day!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom