Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Daddies can not be trusted?I've learned the only Person you can trust is your Mom.
Daddies can not be trusted?I've learned the only Person you can trust is your Mom.
Tumetofautiana namna ya kuhandle mambo, binafsi bora tuachane tu kwa amani ila ukinilazimisha nikuwambe ukofi utaupata.Na msiwe na mihemko pia
Ukiyavulia maji nguo sharti???Alikubuhu,ila long distance relationship nayo si njema
Full kudanganyana tuu hapo basi tuu watu wanalazimishagaAlikubuhu,ila long distance relationship nayo si njema
Maana hamueleweki hata amani wengine hawaitaki Ila nimekuja kugundua kuwa ni mwanaume jasiri na anaejiamin ndie anaeweza kuishi na mwanamke.🤣🤣🤣🤣🙌 Aisee
Hii sasa ndio akiliKwa stage niliofikia na mambo ninayoendelea kuyashuhudia kila siku kwa ndugu,jamaa na marafiki mambo ambayo wake zao wanayafanya na hawajui Daah kifua changu kimebeba mengi sana na siwezi kuyaongea ila kiufupi kwanza mi hisia za mapenz kwenye moyo wangu zilishakufaga sinaga hisia kiukweli nimebaki na kutamani tu nikishakukula bas utanisameh sababu sinaga hisia za kupenda mimi so wenenda tu sihitaji kukupotezea muda
Sasa unakasirika nini. Mbususu yake, maamuzi yake, umemoa akiwa breki pumbuz sasa unategemea nini. Kujipa stress za bure tuu🤣🤣🤣Yaan wewe
Ndivyo ilivyo ukishakuwa mke wa mtu n muhimu kuwa na mipaka na watuUyaoge
Huku ndo kukua sasa,siyo mpaka mtoboaneKwa stage niliofikia na mambo ninayoendelea kuyashuhudia kila siku kwa ndugu,jamaa na marafiki mambo ambayo wake zao wanayafanya na hawajui Daah kifua changu kimebeba mengi sana na siwezi kuyaongea ila kiufupi kwanza mi hisia za mapenz kwenye moyo wangu zilishakufaga sinaga hisia kiukweli nimebaki na kutamani tu nikishakukula bas utanisameh sababu sinaga hisia za kupenda mimi so wenenda tu sihitaji kukupotezea muda
HakikaKabisa,wenye nguvu ndiyo waukamatao mji