Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Ni kweli usaliti si kitu chema kiukweli
Huduma au kutoa Kila kitu kwako haimaanishi hatuna ndugu au tunavyo vingi. Lah! Tunkupunguzia sabab za kushawishiwa huko nje. Sasa Leo unaenda kutoa CHEZO Kwa kimeo kimoja hakina mbele Wala nyuma eti alikuwa anakuoshea gari nlonunua mm. Msamaha wake hapo uniachie ziwa Moja nikalichemshe mm
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.

Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.

Mie naamini Suluhu itapatikana.
Mnapokula pesa zetu ndefu halafu mwisho wa siku mnaingia mitini/cheat hii inaumiza na inatia hasira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom