Upo kama mimi, nikiona mtu anafanya hivyo hadharani huwa inanikata kinoma, tena afanye Mwanamke ndio kabisaaaKuchokonoa pua daah too much
Upo kama mimi, nikiona mtu anafanya hivyo hadharani huwa inanikata kinoma, tena afanye Mwanamke ndio kabisaaaKuchokonoa pua daah too much
Nmecheka kama mwehu u made my night yeah🤭Kutafuna mnyaaa mnyaaa mnyeee mnyeee ngachungachu ngruu ngruu,,af kinamezwa ngudyuu
Hakuna kitu kinanikera Kama mtu kuchokonoa mapua mbele za watu naonaga kinyaa Sana, ama mtu akiongea anarusha mate hua cpendi kabisa. Kifupi tabia zinakera Sana hizoKwenye maisha kuna vitu ambavyo mtu anaweza kuw anafanya kila mara na ikawa kero kwa wengine.
Hali hiyo anawaweza kuwa anaifanya kwa kujua kabisa makusudi kuwa anawakera watu wengine lakini wapo ambao wanaweza kufanya na wasijue kuwa kitendo wachokifanya ni kero kwa wenzake wanaokuwa karibu.
Kuna kitu gani ambacho mtu wako wa karibu anakifanya hukipendi lakini unashindwa kumwambia?
Bwana weee kinywa
Kuna jamaa yangu mmoja anatembea na choo cha shimo mdomoni ila dah kumwambia sasa ndo ishu
Wee sema kweli 😊😊???
Napenda kila kitu chako...Wee sema kweli 😊😊???
Umetishaaa!
Thank you 💕Napenda kila kitu chako...