Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

Umesema kwa simu yake na sio simu ya shirika (Tanesco).

Kosa lipo endapo kuna camera (simu) ya shirika na hakuitumia makusudi....lakini kama hakuna camera (simu) ya shirika na karahisisha kazi kwa kutumia simu (camera) yake binafsi, sioni tatizo yeye kudai ujira wake.
Asante ushauri wako
 
Asante ushauri wako
Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu
Umesema kwa simu yake na sio simu ya shirika (Tanesco).

Kosa lipo endapo kuna camera (simu) ya shirika na hakuitumia makusudi....lakini kama hakuna camera (simu) ya shirika na karahisisha kazi kwa kutumia simu (camera) yake binafsi, sioni tatizo yeye kudai ujira wake.
Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu
kuna watu wanaona ni sawa! Unajua vitu kama hivi vikiruhusiwa vinaweka loopholes gani kwenye utoaji huduma? Huoni kuwa wateja watakuwa wanaambiwa kuwa picha hazifai (hata kama zinafaa) ili tu wafanyakzi wafanye biashara? Watoe specifications za picha zijulikane na kama picha hai-meet specifications basi mteja aambiwe alete nyingine. TANESCO kuna malalamiko ya msingi huku.
 
Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu

Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu
kuna watu wanaona ni sawa! Unajua vitu kama hivi vikiruhusiwa vinaweka loopholes gani kwenye utoaji huduma? Huoni kuwa wateja watakuwa wanaambiwa kuwa picha hazifai (hata kama zinafaa) ili tu wafanyakzi wafanye biashara? Watoe specifications za picha zijulikane na kama picha hai-meet specifications basi mteja aambiwe alete nyingine. TANESCO kuna malalamiko ya msingi huku.
Kama anafanya mambo kama hayo, unaweza kupata picha mangapi mengine hatuyajui anayofanya
 
Kuna haki ya kusikiliza upande wa pili na uchunguzi hivyo tumelipokea kwa kulifatilia wakati mwingine unakuta mtu katoa fedha kwa kishoka asiye mfanyakazi wa TANESCO ndio maana tunasisitiza kuchunguza
vishoka wapo?Wanafanya kazi gani hawa vishoka?
 
Ila Mkuu una komaa na Tanesco aisee.

Thread 'Tanesco kwenye kalenda yao wametumia picha ya mji unaowaka taa ulaya kufikisha ujumbe Wa "Tunaangaza maisha yako"' Tanesco kwenye kalenda yao wametumia picha ya mji unaowaka taa ulaya kufikisha ujumbe Wa "Tunaangaza maisha yako"


Thread 'TANESCO Kigamboni ni kama imetelekezwa, majibu ya wafanyakazi yazua taharuki kwa wateja' TANESCO Kigamboni ni kama imetelekezwa, majibu ya wafanyakazi yazua taharuki kwa wateja


Thread 'Ikiwa mimi nazalisha matofali kusubiri wateja: kwanini TANESCO haina vifaa vya mteja aliyelipia?' Ikiwa mimi nazalisha matofali kusubiri wateja: kwanini TANESCO haina vifaa vya mteja aliyelipia?


Aisee au ni TANESCO wana ID mbili. Manake in JF everything is possible.

🤣🤣
 
Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu

Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu
kuna watu wanaona ni sawa! Unajua vitu kama hivi vikiruhusiwa vinaweka loopholes gani kwenye utoaji huduma? Huoni kuwa wateja watakuwa wanaambiwa kuwa picha hazifai (hata kama zinafaa) ili tu wafanyakzi wafanye biashara? Watoe specifications za picha zijulikane na kama picha hai-meet specifications basi mteja aambiwe alete nyingine. TANESCO kuna malalamiko ya msingi huku.
Kuna watu huwa hawajui hata haki ni nini na wajibu nini, ni kama bendera fuata upepo
 
Sasa kama wafanyakazi wenu Tunaowaamini ndiyo wanafanya hayo! Sisi wananchi tufanyeje! Maana chochote tunachoambiwa ndani ya ofisi yenu lazima tunawaamini?
Acha tabia za Uchonganishi na wanga mkuu. Kwani mtu mzima kabisaaa umesubiri umeme wa bei Kitonga ndio umfungie mdogo wako Nishati! Vitu vingine havina hadhi ya kunadiwa JF maaana are tooo minor
 
Kuna haki ya kusikiliza upande wa pili na uchunguzi hivyo tumelipokea kwa kulifatilia wakati mwingine unakuta mtu katoa fedha kwa kishoka asiye mfanyakazi wa TANESCO ndio maana tunasisitiza kuchunguza
Msimfukuze dada wa watu ajira zenyewe ngumu jamani 🐒
 
Acha tabia za Uchonganishi na wanga mkuu. Kwani mtu mzima kabisaaa umesubiri umeme wa bei Kitonga ndio umfungie mdogo wako Nishati! Vitu vingine havina hadhi ya kunadiwa JF maaana are tooo minor
Kwahiyo sikutakiwa kuomba lisiti ya picha? Si tunaambiwa tudai lisiti ya kila huduma?
 
Dah aisee watu wengine bwana. Ww ilitakiwa uende na passport yako lkn yy kakusaidia kuipata, ila tena msaada wake umegeuka kua kitanzi.

Labda nikuulize; je unafahamu kua picha husafishwa kwa wino unaohitaji kununuliwa? Ulitaka upewe bure?

Ama kweli tenda wema nenda zako.
 
Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu

Hivi nchi yetu kweli ina watu wajinga namna hii? Mfanyakazi wa shirika la umma anafanya biashara kwenye sehemu ya kazi halafu
kuna watu wanaona ni sawa! Unajua vitu kama hivi vikiruhusiwa vinaweka loopholes gani kwenye utoaji huduma? Huoni kuwa wateja watakuwa wanaambiwa kuwa picha hazifai (hata kama zinafaa) ili tu wafanyakzi wafanye biashara? Watoe specifications za picha zijulikane na kama picha hai-meet specifications basi mteja aambiwe alete nyingine. TANESCO kuna malalamiko ya msingi huku.

Chief jitahidi sana kusoma na kuelewa kabla ya kutoa maoni yako.
 
Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?
Kinapenda rushwa hicho kidada nakifahamu nadhani ni njau huyo mchaga.
 
Da. Jaribu angalau kutafakari kabla hujachangia basi!
Kwamba upo sahihi sana?

Nenda katafute Uzi uko hapa JF kuwa usijaribu kumshtaki mfanyakazi wa serikali kwa boss wake.
Utafurahi mwenyewe.

Serikali sio kampuni ya wahindi

Ma HR mmeshazoea kupeleka umbea kwa maboss kufukuzisha watu kwa mambo ya kijinga.

Hapo kapigwa picha na vishoka
 
Back
Top Bottom