Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?
Utakuta hakosi chura

Ova
 
Tunaendelea kuwasihi wateja wetu kujenga tabia ya kufata taratibu haswa za kufanya malipo yote ya Serikali kupitia namba ya kumbukumbu ya malopo yaani control number, malipo yote unayofanya nje ya mfumo sahihi ni uvunjifu wa sheria na taratibu
Sasa kama wafanyakazi wenu Tunaowaamini ndiyo wanafanya hayo! Sisi wananchi tufanyeje! Maana chochote tunachoambiwa ndani ya ofisi yenu lazima tunawaamini?
 
Pesa imelipwa kwa huyo Dada mapokezi na alimpiga picha kwa simu yake na kusafisha picha pale, na kudai pesa ya picha kabla ya kumpatia fomu akiwa humo ndani!

Umesema kwa simu yake na sio simu ya shirika (Tanesco).

Kosa lipo endapo kuna camera (simu) ya shirika na hakuitumia makusudi....lakini kama hakuna camera (simu) ya shirika na karahisisha kazi kwa kutumia simu (camera) yake binafsi, sioni tatizo yeye kudai ujira wake.
 
Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?
Mmh, jamani, mtu anabangaiza apate viela vya nauli mnamuanzishia uzi?!
 
Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?


Utaratibu ni kupigwa picha bure au?

Inawezekana unatakiwa ukapiga picha nje ila mtu kajiongeza kuweka camera na mtambo wa kusafisha na unataka upigwe picha bure.
 
Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?
Umamuita KIDADA CHEUPE

you are no different - na wewe dhereu zako deserves dhereu za huyo dada
 
Tunashukuru sana kwa taarifa tunaipokea kwa hatua zaisi tafadhali tusaidie namba yako pm tuifatilie
Mambo ya pm tena ya nini!? Mwageni taarifa hapahapa Jamvini ili wote tujuwe kinachoendelea,na Kama kweli mmelifanyia kazi hilo tatizo lake mleta maada!!
 
Inasikitisha sana,mteja katoa kero yake akitegemea kupata matokeo chanya ila kwa majibu ya member wa humu ni dhahiri changamoto tunazozipitia ni zimetengenezwa na zinakumbatiwa na wananchi wenyewe,aibu sana!
 
hizi petty business unazoleta hapa ni useless

ikiwa kila mtu akileta maudhi aliyoyapata katika kila ofisi tanzania hii kwa siku moja hivi tutaenea humu jf kweli?

hilo ni tatizo binafsi la muhusika na huyo dada,wa resolve,sio JF

yaani beta males bwana,useless kabisa,unadhani JF ndio ikusaidie kufanya judgement?

as a man resolve matatizo yako binafsi unayokutana nayo mbele yako,tena eti ya kutoelewana na mtoa huduma kwenye ofisi fulani

kizazi gani hichi cha sissies?wanaume wanakua kama mabinti,motherfvcker man up,solve these shits yourself!
Una stress sana..
 
Kama mwezi hivi umepita!

Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!

Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!

Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele nyingi kichwani, kikamwambia dogo atoe hela ili kimpige picha ya passport! Dogo kwasababu kilimwambia picha alokuwa nayo haifai! (Hakijasema haifai kivipi)

Dogo akakubali kupigwa hiyo picha, Hicho kidada kikampiga picha dogo kwa simu pale dirishani na kuisafisha mle mle ndani ya ofisi ya umma!

Dogo alipoomba kupewa ile fomu, kile kidada kikamwambia atoe hela ya picha kwanza!

Dogo akatoa pesa pale dirishani lakini hakupewa listi yoyote ya ile pesa,
Baadae akanipigia simu kunielezea ilivyokuwa nikashangaa! Inakuwaje mfanyakazi wa umma anakuwa na ujasiri wa kiwango kile!

Nikamwambia dogo aulizie namba ya meneja pale ili nipate kumuuliza vyema,

Nikabahatika kumpigia simu yule meneja, lakini ajabu akasema wazi malalamiko ya hicho kidada hata yeye yanamkera kashakionya Mara kadhaa lakini yanajirudia!

Nikauliza mbona nimetozwa pesa ya picha katika ofisi ya Tanesco hapo afrikana pasipo kupewa lisiti? Yule meneja akasema atalifanyia kazi,

lakini ajabu hadi Leo sikupewa taarifa yoyote na malalamiko nilimfikishia!

Sasa nikajiuliza, kama mambo kama hayo kile kidada kimenifanyia Mimi hivyo.
Je ujasiri huo wa kupiga picha kwenye ofisi ya umma kimewafanyia watu wangapi?
Ina maana kinafanya biashara ndani ya ofisi ya umma?
ujasiri ule nani anakipatia?

Pia kama meneja alinijibu kuwa taarifa na malalamiko ya huyo mfanayakazi ni mengi na kashamuonya Mara kadhaa lakini haachi, je hicho kidada kinapewa jeuri hiyo na nani?

TANESCO YETU embu fuatilieni mtuambie hicho kidada cheupe chenye nywele nyingi pale mapokezi Tanesco mbezi beach afrikana kimewekwa pale na nani hadi kiwe jeuri namna hiyo?

Kinafanyia hivyo watu wangapi?
Kama Ni pisi kali Basi Kuna mwanaume mwenzetu anakapa kiburi hako kadada
 
Back
Top Bottom