Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Nimewahi kuingia moja yenye micro camera, bhna nikafanya mautundu yangu yote, muda natoka kesho yake dada wa mapokezi ananipa salute, nimefika home nakuta demu kanitumia text, akinisifia akiniomba sana tupate siku walau apate nusu ya hayo mautundu, kiukweli hadi leo sitapataa muda wa kwenda kabisa ila ni mtoto mmja wa haja!!!!!!
 
Faragha ya watu wao inawahusu nini, kama wangetaka kulambana hadharani si wangefanya hivyo
Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
 
Jinsi ya kutambua iwapo chumba kina CCTV camera kwa kutumia smartphone...

Funga madirisha na milango...

hakikisha unapata giza la kutosha ndani ya chumba..

kisha chukua simu yako na kufungua camera....

Elekeza camera pande zote za chumba na dari..

Ukiona mwanga kwenye screen ya simu yako... hapo hapo mwanga unapotokea ndipo ilipo camera ya CCTVView attachment 728337
What if huwa inazimwa mpaka mtanange umekolea ndo wanawasha!
 
Back
Top Bottom