Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Dindira

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
2,912
Reaction score
3,469
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
 
Ila waswahili hatunaga shukran kila mmoja hapa atajidai haingiagi gesti na kumponda mleta mada wakati huo huo wameshakopi uzi wake na kusambaza magrup ya watsup

Mada ni mada haina muda maalum wa kupost

Shukran mleta mada kwa kushare nasi jambo muhimu kama hili
 
Kwahiyo na wewe ni muhjdumu hapo au!? Au wewe ndo unatuza hizo casset na cd zilizorekodiwa!?
 
Jinsi ya kutambua iwapo chumba kina CCTV camera kwa kutumia smartphone...

Funga madirisha na milango...

hakikisha unapata giza la kutosha ndani ya chumba..

kisha chukua simu yako na kufungua camera....

Elekeza camera pande zote za chumba na dari..

Ukiona mwanga kwenye screen ya simu yako... hapo hapo mwanga unapotokea ndipo ilipo camera ya CCTV
77f15e7864c82db305c9c78b235e7da5--model-photos-chennai.jpg
 
Jinsi ya kutambua iwapo chumba kina CCTV camera kwa kutumia smartphone...

Funga madirisha na milango...

hakikisha unapata giza la kutosha ndani ya chumba..

kisha chukua simu yako na kufungua camera....

Elekeza camera pande zote za chumba na dari..

Ukiona mwanga kwenye screen ya semu yako... hapo hapo mwanga unapotokea ndipo ilipo camera ya CCTVView attachment 728337
Thanks for sharing
 
We umejuaje na we si mfanyakazi wa gesti... Cum...am....aye. [emoji16] [emoji51] [emoji119]
 
Back
Top Bottom