Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

ila hili angalizo lilishatolewa kitambo sana hasa wale wazee wa ma xxx movies walipoziona videos za wapendwa wao.
 
We umejuaje na we si mfanyakazi wa gesti... Cum...am....aye.

Zile zinatumika zaidi kwa usalama wa nchi husika. Kuwanasa majambazi na wasafirishaji wa madawa ya kulevya na magaidi. Haitakiwi kutumika mpaka pale mtu anapotiliwa shaka. Zipo sheria kali sana juu ya faragha ya watu. Maeneo ya barazani na ya jumuia yapo wazi kuonwa na walinzi. Vyumbani mpaka mtu ashukiwe. Nadhani pia mpaka wapate kibali maalumu kutoka vyombo vya sheria. Wakiangalia mengineyo bila sababu yoyote ama lalamiko lolote ama uchunguzi wowote hiyo inakuwa ni uvunjani wa sheria ya faragha ya mtu. Wateja wakifahamu hoteli hizo zinafanya hivyo huzikimbia. Si rahisi mwenye mali kuruhusu hilo bila ruhusa yake na vyombo maalum vya sheria. Ukishukiwa basi utafuatwa hadi vyumbani humo kisheria na si kiholela. Hao unaosema wanafanya hivyo wanavuna sheria.Lazima tahadhari iwe imewekwa chumbani kwamba "Chumba hiki kipo chini ya uangalizi wa CCTV camera." Ndio sheria.
 
Ila waswahili hatunaga shukran kila mmoja hapa atajidai haingiagi gesti na kumponda mleta mada wakati huo huo wameshakopi uzi wake na kusambaza magrup ya watsup

Mada ni mada haina muda maalum wa kupost

Shukran mleta mada kwa kushare nasi jambo muhimu kama hili
ukweli mchungu huu
 
Hii ni chai,hakuna ukweli ktk hili,kamera zinafungwa nje ya vyumba. Ila hotel zingine wanafunga mapokezi,halafu kwenye screen yako ya tv,unawekewa km channel unaona kila kitu kinachoendelea reception..Hii inasaidia akija mtu anakuulizia,unapigiwa simu unaambiwa ufungue hiyo channel umuangalie huyo mgeni km unamfahamu,km ni mmeo au mkeo inakuwa rahisi kujua na hotel wanakuwa wameepusha vurugu....!!
 
Back
Top Bottom