Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Hapa ni kwenda guest za 5000 tu hawanaga hz mambo
 
Kama wanaangalia kupitia CCTV hiyo ni kama Porn movie baada ya kumaliza wawe wanalipia
 
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
Mkuu acha hiyo tabia sio nzur kwnn uingilie faragha za watu
 
kwa kawaida, na nisheria ,hotel zenye CCTV, how's zinafungwa kwenye Pembe zote Kuzunguka jengo pamoja name mapokezi, hailuhusiwi na pia ni kosa CCTV kufunga ndani ya vyumba vya kulala wageni na kuingilia faragha ya mtu, labda Kama niofisi
 
Back
Top Bottom