msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,788
- 9,127
Kuna watu wanaenda gesti then wanaiba pia ,wacha ziwekwe tu
Zinapatika wapi mkuu maana ninamaeneo separate yote nataka niyakwide cctv
Hawakutakii mema asee!Etiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko utakula chabo ya live(bila cctv) + kupeleka kunguni homeHapa ni kwenda guest za 5000 tu hawanaga hz mambo
Ha ha ha ha pata picha uko road unajiona kwenye cover ya muuza cdKwanini wanatufanyia hivi lakini? Tufike room badala ya kufanya kilichotupeleka tunaanza kutafuta camera. Ukimaliza hapo unaanza kupambana na vumbi.
Halafu ni kosa kisheria ni unaweza ukawafunga wenye guest. Huwezi ukaingilia privacy ya mtu kwa kuweka cctv camera chumbani labda mkataba wako na mteja uruhusu hizo mambo.Kuna watu wanaenda gesti then wanaiba pia ,wacha ziwekwe tu
Dah! We MTU umenichekesha sanaDuh, wale wa kununua porn CDs barabarani, unaweza ukajikuta unapewa CD sterling mwenyewe!
Dawa ukiingia nyumba ya wageni yoyote kwanza zima taa zote zilizomo ndani ya chumba kisha washa camera ya smart phone yako, kama kuna camera yoyote utaona kamwanga kadogo sana kana shine kwenye camera yako ka rangi nyekundu unachotakiwa kufanya hapo hakuna kukimbia, tafuta jojo iliyotafunwa unaibandika pale unaendelea kufurahia tunda lako, nadhani mmenisoma vizuri napita tu hapa sikai kabisa leo.Kwanini wanatufanyia hivi lakini? Tufike room badala ya kufanya kilichotupeleka tunaanza kutafuta camera. Ukimaliza hapo unaanza kupambana na vumbi.
Ndo kupoteza muda huko sasaDawa ukiingia nyumba ya wageni yoyote kwanza zima taa zote zilizomo ndani ya chumba kisha washa camera ya smart phone yako, kama kuna camera yoyote utaona kamwanga kadogo sana kana shine kwenye camera yako ka rangi nyekundu unachotakiwa kufanya hapo hakuna kukimbia, tafuta jojo iliyotafunwa unaibandika pale unaendelea kufurahia tunda lako, nadhani mmenisoma vizuri napita tu hapa sikai kabisa leo.
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
Ktk ma hotel ya nchi nilizotembelea nimeona camera kwenye corridors, gate, garden na maeneo mengine. Chumbani No.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia smama ninywe chai
bora muda upotee ili usije kuuza copy kwa watu wengi tehe tehe teheNdo kupoteza muda huko sasa
Nilishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]