Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Kuna gesti Dar zina CCTV ukiingia jihadhari

Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
Tuwekee video hapa
 
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
Mmezidi wizi wa mashuka. Wacha waweke hizo nini sijui DsTv sijui CCTV!!!
 
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
sio kweli, cctv kwenye ma gest zinawekwa mwisho kwenye makorido mlangoni ila ndani ya vyumba cctv camera haziwekwi na hawaruhusiwi kuweka, labda kama kuna mhudumu mtundu ni yeye binafsi anaweza kuwa na camera binafsi akategesha ili ale chabo na akijulikana lazima afukuzwe kazi na mwenye hoteli
 
Wewe ni mhudumu nadhani. Taja kwa jina ili tujue tunaanzia wapi kuwatafuta
 


Juz nmeitwa hotel
Flan kurekebisha curtains
Sasa nliona cctv reception tu

Na znafanya Ila baada ya kuingia
Chumban ckuona camera cjui
Hua wanawake zle za luficha ama

Lkn kwenye hotel hz kubwa
Vyumban cjaona hz vtu kabsa
Kazi na dawa mkuu wahudumu nao wanataka kuusoma mchezo
 
Jinsi ya kutambua iwapo chumba kina CCTV camera kwa kutumia smartphone...

Funga madirisha na milango...

hakikisha unapata giza la kutosha ndani ya chumba..

kisha chukua simu yako na kufungua camera....

Elekeza camera pande zote za chumba na dari..

Ukiona mwanga kwenye screen ya simu yako... hapo hapo mwanga unapotokea ndipo ilipo camera ya CCTVView attachment 728337
Wape Darasa Wadhembe Kama Hao
 
Back
Top Bottom