Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,444
Am a woman tho... lolSamahani mkuu avatar hyo
Am a woman tho... lolSamahani mkuu avatar hyo
Sasa uvinza kunani mkuu?? Au selfie??Am a woman tho... lol
Ohoooo wewe umechelewa... wakey wakey.Sasa uvinza kunani mkuu?? Au selfie??
Labda unajipiga selfie mkuuOhoooo wewe umechelewa... wakey wakey.
Acha tabia za ajabu ajabu wewe.Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana.
Nanikinyume na KatibaMkuu acha hiyo tabia sio nzur kwnn uingilie faragha za watu
Hapo dawa ni kula mzigo gizanii
Hahaha huyu mtt siku hizi majibu yake ya kiujamzito sijui miezi mingapiMajibu yako siku hizi heheh
Labda za uko uswazi unapoendaga kutiwaMi huwa naamini tu guest zote zina vumbi sijui kwanini![]()
Halafu kule unakuta pazia halitoshi dirishani, ukivuta upande mmoja, upande mmoja unabaki wazi...utadhani wamekosea kumbe ni makusudi yao tu.Huko utakula chabo ya live(bila cctv) + kupeleka kunguni home
Mkuu ungetoa hints chache kuwa mara nyingi zinafichwa sehem fulani.Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za siri za mwanamke na mwanamme. Kinyume na maumbile ndio karibu kila wawili hufanya na mengine mengi machafu
Hahaaa nimecheka!Kwanini wanatufanyia hivi lakini? Tufike room badala ya kufanya kilichotupeleka tunaanza kutafuta camera. Ukimaliza hapo unaanza kupambana na vumbi.
Eti umesemaje??Ila waswahili hatunaga shukran kila mmoja hapa atajidai haingiagi gesti na kumponda mleta mada wakati huo huo wameshakopi uzi wake na kusambaza magrup ya watsup
Mada ni mada haina muda maalum wa kupost
Shukran mleta mada kwa kushare nasi jambo muhimu kama hili
Haaaaa haaaaa nyie watu!Halafu kule unakuta pazia halitoshi dirishani, ukivuta upande mmoja, upande mmoja unabaki wazi...utadhani wamekosea kumbe ni makusudi yao tu.
Kwanini wanatufanyia hivi lakini? Tufike room badala ya kufanya kilichotupeleka tunaanza kutafuta camera. Ukimaliza hapo unaanza kupambana na vumbi.