The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
Hairuhusiwi kuweka kamera kwenye room za guest houses wala kwenye room za hotelin..Kamera mwisho wake ni kwenye corridors tu na sio ndani ya chumba...Kama zipo kutakuwa na tatizo mahali, otherwise labda hao wenye guest wanaweka kamera manualy kwa sababu zao wenyewe. na hata ukiangalia hizo picha nyingi zinaonekana kuwa zimerekodiwa na kamera za simu...Kwanini wanatufanyia hivi lakini? Tufike room badala ya kufanya kilichotupeleka tunaanza kutafuta camera. Ukimaliza hapo unaanza kupambana na vumbi.
CC. Wazee wa kufunga CCTV tuwekeeni ukweli wa hili....
