Kuna bank Amana mkombozi na maendeleo

Kuna bank Amana mkombozi na maendeleo

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,491
Reaction score
29,264
Hizi ni bank za taasisi za dini .
Azania ni bank ya waislamu ..
Maendeleo ni bank ya kkkt.(kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania)
Na mkombozi ni bank ya Rc (roman katholic)

Sasa hizi bank 2 yaani mkombozi na maendeleo ukoenda kukopa unakopeshwa bila kujali dinije!kwa nini hii ya azania y waislamu)ikienda kukopa kama sio dini yao haupewi?/kukubaliwa,kulikoni?
 
Back
Top Bottom