Kuna aina ya watu hawarogeki

Kuna aina ya watu hawarogeki

Umesema hakuna asierogeka, mimi naomba kurogwa, kama kuna mchawi unamjua mwambie mimi naomba kurogwa na details zangu nilitoa kwenye huu uzi hapa Naomba kurogwa hivyo unaweza kupitia ukawasaidia hao wachawi.

Uchawi/ulozi haupo duniani. Hakuna kitu kama hicho.
Mbn unalazimisha kurogwa mkuu au unamkopo benk ?mi sio mchawi ila ikibidi kukuroga basi nitakuroga tena kwa style nayotaka mimi.
 
Zongo ipo na inafanywa sana mkoani Tanga ni uchawi tu, tena huo haulogi mtoto tu hadi mtu mzima. Nimezaliwa Tanga na kabila ni mdigo, kijijini ilipo asili ya baba yangu watu wanaogopa kukaa kifua wazi kisa zongo.
Aisee, haya poa
 
Hapana si kweli Nina uzoefu kwenye hili kielimu na kiutafiti, si kila mtu anaweza kuwa mhanga wa mchawi na ukicheki hapo nimeainisha kwa uwazi kabisa
Nikweli kabisa si kila mtu anaweza kua mhanga wa mchawai kwasababu uchawi unaenda na nia ila uchawi unaweza kumdhuru mtu yyte km ikibidi kufanya hvo kwa mtu husika bila kujali yukoje.
 
Mbn unalazimisha kurogwa mkuu au unamkopo benk ?mi sio mchawi ila ikibidi kukuroga basi nitakuroga tena kwa style nayotaka mimi.
Uchawi una kanuni zake ni sawa na kumwambia dereva apate ajali! Inawezekana kweli?
 
Nikweli kabisa si kila mtu anaweza kua mhanga wa mchawai kwasababu uchawi unaenda na nia ila uchawi unaweza kumdhuru mtu yyte km ikibidi kufanya hvo kwa mtu husika bila kujali yukoje.
Hapo nimekulewa sasa...thanks
 
Mbn unalazimisha kurogwa mkuu au unamkopo benk ?mi sio mchawi ila ikibidi kukuroga basi nitakuroga tena kwa style nayotaka mimi.
Nishatoa go ahead ya kurogwa siku nyingi sana mkuu, wewe roga kwa staili yako unayoipenda, tena ntafurahi sana kurogwa.

Sina mkopo benk ila najua tu uchawi au ulogi haupo ndio maana nikasema kama mtu ana uhakika uchawi upo naomba aniroge au asaidie wachawi waniroge.
 
Haraka sana mawazo yako yatakutuma kwa walokole, waliojizindika, wasioamini katika uchawi ama ambao kiasili tu miili yao iko hivyo
Singuzumzii makundi hayo asilani...nazungumzia watu tofauti kabisa
Mchawi hana tabia za fisi, mchawi ana tabia za simba na chui....fisi hula mizoga, makombo,wanyama dhoofu na mara chache sana wanyama wenye nguvu zao
Tofauti na simba ama chui wao hupenda kula kitu fresh, mnyama ambaye yuko fit amfukuze ama amvizie amkabe amuue amle...ni mara chache mno kuwakuta hawa wanakula mizoga
Mchawi harogi teja,mchawi harogi mgonjwa, mchawi harogi mlemavu wala mtu yoyote mwenye kasoro kubwa kimaumbile....mchawi hupendelea kufanya mambo yake kwenye mwili uliofit mwili wenye afya, mwili wenye nguvu!

Kwanini huwa hivi!?
Mchawi kazi yake ni kuharibu kutesa na kuumiza...kwahiyo hawezi kuteza kilichoko kwenye mateso tayari, hawezi kuharibu kilichokwisha anza kuharibika nknk
Ukiona mchawi anatumia vitu hivyo si kwa nia ya kuharibu wala kuangamiza wala kutesa tena bali ni kwa nia ya kupata malighafi
Ndio maana ukitaka kumkomoa mtu unayehisi ni mchawi mwekee ama mpe kitu chenye mapungufu
Kama ni nguo ichane kipande
Kama ni ndala nk kata kipande
Kama ni noti nyofoa kipande nknk .....atakununia mpaka utoke upele
Mkuu elimu juu ya mambo ya uchawi umeipata wapi @umeijuaje Bro?
 
Upumbavu mtupu huu. Dunia ya tatu kuna mambo sana! Tena mambo ya kibwege haswa!
 
Nina elimu kidogo juu ya hilo ndo mana nasema hvo,,ila km wewe utakua ni muislam jiulize swali kwann mtume Muhammad(S.A.W) aliweza kurogwa na ilihali ana ulinzi maalum kutoka kwa Allah.
kwahiyo mtume alishawahi kurogwa?hahahahaahaha, angemwamini tu Yesu asingerokega mbona.
 
Back
Top Bottom